Kua na tambo ni sawa maana anachagiza huo mchezo, tatizo watu wanataka kusikia maneno utasema yuko kanisani au msikitini,Kwahiyo mkuu unataka kusema Mwakinyo yupo sawa katika ulimwengu wa ngumi?
Twaha hapigani kiprofesheno kama mwakinyo, anapigana hovyo hovyo.
Muhimu ushindi.Twaha hapigani kiprofesheno kama mwakinyo, anapigana hovyo hovyo.
Kwa punch za mwakinyo, huyo twaha wenu ajipange mazee.
Yaani mtu akizungumzia jambo alilosema Mtu mwingine tayari ni Udini?Mdau acha udini natumai upo unaishi katika jamii yenye mchanganyiko wa kiimani na una jamaa na marafiki wa imani tofauti na mnaheshimiana lakini kumbe moyoni una namna hasi unayowachukulia wenzako nakuomba ujaribu kuwadhirishia wazi jinsi unavyowachukulia hao watu na miungu yao ili uone faida yake kuliko kuja kujificha huku
Kiduku sio wa mchezomchezonamshauri Mwakinyo asikubali kupigana na Kiduku,huyu dogo ana punch nzito sana.
Ana punch nzito wapi kapigana na mthailand cku ile kaachiwa uso apige mpk achoke na kashindwa japo kumchubua uso.namshauri Mwakinyo asikubali kupigana na Kiduku,huyu dogo ana punch nzito sana.
hujui kitu basi kushabikia tu,sio kuchambuaAna punch nzito wapi kapigana na mthailand cku ile kaachiwa uso apige mpk achoke na kashindwa japo kumchubua uso.
Sawa sawa.hujui kitu basi kushabikia tu,sio kuchambua
Si vizuri kusapoti na kukumbushia vitu vyenye mlengo hasi kwa watu wa jamii flan kama wewe pia huvifurahiiYaani mtu akizungumzia jambo alilosema Mtu mwingine tayari ni Udini?