GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nimepishana na 'Coasters' mbili za 'Masela' na Wazee wa 'Ndole' tupu zikielekea Tanganyika Packers Kawe walipo EFM na Tamasha lao na nyingine ikielekea Leaders Club Kinondoni waliko Clouds FM na Tamasha lao, na kwa zile Sura nilizoziandika nina uhakika kuanzia Kesho Asubuhi huenda Vituo vingi vya Polisi 'vikafurika' Watu wa kutaka 'Fomu' za Kupotelewa Simu kwa 'Kuibiwa' ili 'wakarinyuu' Namba zao.
[emoji23][emoji23][emoji23]mtamuuwa mwenzenu.Popoma , tumekupata vzr
Popoma , tumekupata vzr
Na Wezi ( Vibaka ) wengi siku hiyo Sokoine Stadium walikuwa ni Ndugu zake Mchezaji Deus 'Mwaisa' Mtu Mbadi Kaseke na Simu zote zilizoibiwa zimefichwa na Kocha Nabi.umenikumbusha mechi ya Yanga na Mbeya Kwanza kwenye uwanja wa sokoine juzi; watu walilizwa sana, ndio nikiamini civilization kwa wenzetu bado sana
Akikujibu nitaghadi 'mbunye' ?