Kwa mnaotukana kuhusu uopoaji wa maiti ya mama Mkenya na mwanae pale Likoni mnafaa muyafahamu haya

Kwa mnaotukana kuhusu uopoaji wa maiti ya mama Mkenya na mwanae pale Likoni mnafaa muyafahamu haya

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Tangu hilo gari lizame na huyo mama, kuna Watanzania wamekua wakibeza sana kama kwamba wanashangilia tukio na ingekua furaha sana kwao kama juhudi za uopoaji zingeshindwa kufaulu, roho nyeusi kupita maelezo, wao wamesahau huko kwao kipindi cha mkasa wa MV Nyerere kuna watu wangeokolewa ila kwa ukosefu wa taa usiku, ilibidi waachwe wafe tu ili miili yao iopolewe, na pia haikuopolewa yote, kunao wengi waliachwa waliwe na samaki.

Inategemea uwezo wa kutumia ubongo na kudadisi huu mkasa wa Kilifi ulikuwa kwenye mazingira gani, kina cha mita 50 na mzunguko mrefu wa mraba, ukizingatia hayo maji yana kitu tunaita 'rapid under current', hiyo ina maana gari halikuzama moja moja kwenda chini, lilisafirishwa humo humo ndani na kupelekwa mbali, pia kuna kitu kinaitwa 'zero visibility', ilibidi watumie special vision equipment maana kwa macho ya kawaida hauwezi kuona kitu.

Nguvu na gharama nyingi zilitumika kuopoa maiti ya huyo mama, ni faraja kuona serikali yetu inaweza kwenda hatua zote hizo kuopoa maiti ya Mkenya mmoja.

Japo pia maswali yanafaa yapate majibu ili kubaini uzembe uliosababisha huo mkasa.
 
Poleni majirani zetu,ila msipende sana kugeneralize,isiwe watu wawili au watatu wamepost ukajuwa ndio watanzania tulivyo.Watanzania nature yetu ni ukarimu na nadhani katika Afrika tunaongoza kwa hilo...
 
Acha ujinga tueleze kwanini waliokuwa kwenye kivuko awakufanya haraka kupeleka lifejacket Kwa mama na mtoto muda uleule Gari limeingia majini ? Kivuko kilikuwa na watu zaidi ya mamia hakuna hata mmoja aliye jaribu kufanya kitu chochote mama na mtoto walitegemea kupelekewa boya za kujisaidia hapo inaonyesha ni upumbavu tu
 
Janga halina kwao hata ninyi kuna matukio hua mnaleta utani yakitokea kwetu, lakini napenda sana tutaniane kwenye raha na sio kwenye majanga kwani ubinadamu hautufunzi hivo

Haiwezi kutokea uone Mkenya akiwatania Watanzania pale ambapo janga limesababisha mauti, tutataniana kwa mengi lakini sio mauti.
Kumbuka jeshi letu lilikua la kwanza kuleta msaada Tz mlipokumbwa na tetemeko.
Japo humu kuna Watanzania hushabikia hata mauaji ya alshabaab.
 
Siku 13 huu ni uzembe kwa ujinga wenu mna shindwa kusaidia masikini mna baki mnajisifu Kenya ina matajiri wakati kibera mathare na other slum's wana kunya kwenye Rambo wana ishi kwenye mabati toka N'gugi Wathiongo ameandika hali halisi kupitia kitabu cha...THIS TIME TOMORROW...Mpaka leo hakuna kilicho badilika..
 
Haiwezi kutokea uone Mkenya akiwatania Watanzania pale ambapo janga limesababisha mauti, tutataniana kwa mengi lakini sio mauti.
Kumbuka jeshi letu lilikua la kwanza kuleta msaada Tz mlipokumbwa na tetemeko.
Japo humu kuna Watanzania hushabikia hata mauaji ya alshabaab.
Kuna wakati wanafunzi washule fulani huko Tanzania walipata ajali. Uhuru aliongoza watu ku observe a minute of silence
Hata ile accident ya morogoro polisi wetu ndo walisaidia ku identify victims through bone DNA.
Lakini janga likitokea Kenya utaona mibongo ikufurahia. kwa ujumla wabongo wengi ni watu wenye roho mbaya.
 
Kuna wakati wanafunzi washule fulani huko Tanzania walipata ajali. Uhuru aliongoza watu ku observe a minute of silence
Hata ile accident ya morogoro polisi wetu ndo walisaidia ku identify victims through bone DNA.
Lakini janga likitokea Kenya utaona mibongo ikufurahia. kwa ujumla wabongo wengi ni watu wenye roho mbaya.

ila ndivyo walivyo hawa, nahisi kuna kitu kiliwaingia Watanzania wakabadilika na kuwa hivi, maana sio hata kwa Kenya, fuatilia siku hizi huchekana hata wenyewe, juzi ajali ya Morogoro kunao nilishangaa kuona wakishangilia na kubeza ilhali ilikua kwa ndugu zao.
Ndio maana wametajwa ndani ya mataifa kumi duniani wanaoishi kwa huzuni na dhiki
 
Wala hakuna aliyeshangilia,
Nyie huwa mkiambiwa ukweli mnaona kama labda kitu kinashangiliwa,
Kingine kikubwa kinacho waponza ni kupenda kujisifia ujinga wakati kwa ground vitu ni different,
Huwa mkiambiwa ukweli mnaona kama mnachukiwa labda,
Kubalini tu kuwa umefanyika uzembe wa hali ya juu pale hata kama waliofanya huo uzembe ni watu wa kabila lenu,
Kwanini msishinikize serikali yenu inunue au kujenga vivuko vipya?
Au hamuoni kile kivuko kilivyo choka?
 
Nan kashangilia vifo jamani, c ni watz ndo walikua na maumivu kuliko ninyi kuonesha wazi uzembe mnaofanya kuwaokoa wale waafa wawili? Hakuna aloshangilia wamekufa ila wameponda uzembe wa wao kutookolewa wakat ule gar lilipoingia baharin, umeleta mfano wa mv nyerere ukasahau kuwa ile sio watu wawil bali ni hundreds of lives were at risk and ni usiku at the middle of no where full of dark na waliokolewa wengi sana akin swala la watu wawili tena mchana na watu na mabaharia wapo karbu ilikua uzembe
 
Nan kashangilia vifo jamani, c ni watz ndo walikua na maumivu kuliko ninyi kuonesha wazi uzembe mnaofanya kuwaokoa wale waafa wawili? Hakuna aloshangilia wamekufa ila wameponda uzembe wa wao kutookolewa wakat ule gar lilipoingia baharin, umeleta mfano wa mv nyerere ukasahau kuwa ile sio watu wawil bali ni hundreds of lives were at risk and ni usiku at the middle of no where full of dark na waliokolewa wengi sana akin swala la watu wawili tena mchana na watu na mabaharia wapo karbu ilikua uzembe
Huyu jamaa kupitia haka ka uzi,utajua akili za wakenya zikoje.

Hawa jamaa tuwache wakimbie tu ndio akili zao zinamudu.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Unachekesha sana, hivi kenya jeshi lenu halina wana-maji, na kama mnao je, hawana vifaa..? Nyambizi huwa zinapita chini ya maji mnawezaje muwe na nyamizi zisizo na vifaa sisi mwanza ferry ili binuliwa na vifaa vyetu vya kijeshi faster.
 
Back
Top Bottom