Kwa mnaozimikia Avatar na sweet msg...cku ya appointment usizimie...

Kwa mnaozimikia Avatar na sweet msg...cku ya appointment usizimie...

Leornado

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
1,529
Reaction score
198
Unakua mtu ana bonge la avatar na anachat kwa msg tamu tamu hadi unaingia line ukijua umeopoa kifaa. Weingi huwa waongo, cheki huyu jamaa anavyojipandisha chat...

 
Ha ha ha!
Sitaki tena kuonana na watu.
Yasije kunikuta bure.
 
Unakua mtu ana bonge la avatar na anachat kwa msg tamu tamu hadi unaingia line ukijua umeopoa kifaa. Weingi huwa waongo, cheki huyu jamaa anavyojipandisha chat...

Ha ha haaaaa, kudadadeki, kidume si mchezo!!!! :first:
 
hizi ID na fake avatar image ni noma kuna kijamaa kilishamuapproach dada yake kabisaa,walipopanga appointment ndio akagundua
 
hizi ID na fake avatar image ni noma kuna kijamaa kilishamuapproach dada yake kabisaa,walipopanga appointment ndio akagundua
ndio maana nilishauri kila mmoja wetu awe anatumia unik pict yake lakini naona kimya kwani kama ubaya na uzuri sote si tuna damu nyekundu jamani...yaani subhannallah sijui kwanini watu huwa hawataki swala hili sababu sijaifaham ...
 
Unakua mtu ana bonge la avatar na anachat kwa msg tamu tamu hadi unaingia line ukijua umeopoa kifaa. Weingi huwa waongo, cheki huyu jamaa anavyojipandisha chat...


hasa hapa jf, watu wanakimbia wakikutana baada ya mapm ya kumwaga
 
Back
Top Bottom