Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana kabisa....
:laugh:
Ahahahahahaaaaaaaaahhhh pole sana..........alikuwaje kwani!!!!Kwi kwi kwii yameshanikuta humu humu jamvin.
ndio maana nilishauri kila mmoja wetu awe anatumia unik pict yake lakini naona kimya kwani kama ubaya na uzuri sote si tuna damu nyekundu jamani...yaani subhannallah sijui kwanini watu huwa hawataki swala hili sababu sijaifaham ...hizi ID na fake avatar image ni noma kuna kijamaa kilishamuapproach dada yake kabisaa,walipopanga appointment ndio akagundua