ndio maana nilishauri kila mmoja wetu awe anatumia unik pict yake lakini naona kimya kwani kama ubaya na uzuri sote si tuna damu nyekundu jamani...yaani subhannallah sijui kwanini watu huwa hawataki swala hili sababu sijaifaham ...
why dont you just put your real image as your avator. mnaogopa nini?
ndio maana nilishauri kila mmoja wetu awe anatumia unik pict yake lakini naona kimya kwani kama ubaya na uzuri sote si tuna damu nyekundu jamani...yaani subhannallah sijui kwanini watu huwa hawataki swala hili sababu sijaifaham ...
why dont you just put your real image as your avator. mnaogopa nini?
ndio maana nilishauri kila mmoja wetu awe anatumia unik pict yake lakini naona kimya kwani kama ubaya na uzuri sote si tuna damu nyekundu jamani...yaani subhannallah sijui kwanini watu huwa hawataki swala hili sababu sijaifaham ...
ndio maana nilishauri kila mmoja wetu awe anatumia unik pict yake lakini naona kimya kwani kama ubaya na uzuri sote si tuna damu nyekundu jamani...yaani subhannallah sijui kwanini watu huwa hawataki swala hili sababu sijaifaham ...
Kwi kwi kwii yameshanikuta humu humu jamvin.
hahaha umenichekesha ,Lakini kwa nini mtu udanganye?
Kwi kwi kwii yameshanikuta humu humu jamvin.
Teh teh teh, hivi JF wapo wa hivi?
siku ya kukutana ukikuta ndivyo sivyo sasa sijui utaonyesha mshangao wako au utajikausha? kazi ipo..