Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani mkuu Mimi sio dereva ila morogoro route ya kwenda matombo naiona ni nzuri watu wamewekeza sana njia hiyoWakuu habarini.
Mwaka huu niliingiza gari (hiace) ipo mkoa wa geita na inafanya route ya katoro -geita
Changamoto ni nyingi mno aisee ni mno.
. traffic point 3 sometimes hadi 5
.Uhaba wa abiria
Kwa sasa nimefika maamuzi ya kutafuta njia katika mikoa mitatu moro,mpanda na sumbawanga .
Najua jf haijawahi kushindwa .
Wenyeji na wazoefu + madereva wa mikoa husika nipatieni njia bora nifanye kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nashukuru kwanza.Samahani mkuu Mimi sio dereva ila morogoro route ya kwenda matombo naiona ni nzuri watu wamewekeza sana njia hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app