Khee. Usinchekshe. Hazina makombo hizo"Pale" aliponiuliza, miye niliona vibaya kutomjibu, na nilimjibu kwa namna yangu. Nilizidisha idadi ya wale niliowahi tembea nao mara mbili ili kumwona kama atavumilia na kuhimili kishindo cha hiyo idadi. Maskini; na alihimili, alivumilia. Miye sikutaka kumuuliza, ila "yeye" mwenyewe akasema, "mbona simuulizi?" Nami nikaitikia wito, nikamuuliza. Idadi aliyonitajia ilinipagaisha. Ilikuwa mara mbili ya ile niliyo izidisha mara mbili mimi.-- dot-- dot-- dot, Mwisho.
Moral of the story: Does it really matter how many men/women your sexual partner has ever slept with?!
Naona kama unampenzi take her or him kama alivyo hapo alivyo kwa muda huo kama unataka ajirekebishe ongea nae ila ukisema uanze kufuatilia maisha yake haswa ya kimahusiano unaweza lia siku moja kwa sababu unaweza kumhukumu kutokana na historia yake -- na maanisha utaanza kumfuatilia kujua hili na lile unapoteza muda wako kwa mambo hayo wakati u need to make ur life better in a wonderfull world
Msichana ambaye niliachana nae mwaka huu niligombana nae siku moja then ndugu yake mmoja akaja kuniambia ukweli kuhusu dada huyo kwamba alikuwa anajiuza wakati akiwa chuo ili aweze kupata chochote wakati huo jamaa ambaye alikuwa nae hakuwa na uwezo wowote kwahiyo nae alitegemea huyo dada ajiuze ili aweze kupata chochote
tulivyogombana ndio akaniambia ukweli huo --- kumbe zamani ningejua hii hata nisinge hangaika nae unaona nimekaa nae miaka 2 hivi so thats how it ended
na aliniambia hata kwangu alikuwa anajiuza
buswelu lakini this is information age utakubali mwanamke wako ambaye alikuwa anajiuza aje kusababisha uangushwe katika mambo fulani huko mbeleni sifa yake mbaya ije kuwa ndio chachu ya kuondoa vitumbua vyako ??
Moral of the story: Does it really matter how many men/women your sexual partner has ever slept with?!
Inafaa mtafute bikira π
Ha haha hivi bado wapo kweli duniani..?bubu kasema kweli.....uffss.(l)
wapo lakini ni underage! rika lenu ni wa kubahatisha au hakuna. Vipi wawepo ilhali mnataka kutest kwanza kabla hajachukua kitu kizima kizima?
Ha haha hivi bado wapo kweli duniani..?bubu kasema kweli.....uffss.(l)