Biblao[emoji777]Kombe la Mfalme Spain Atl Biblao Vs Barcelona Kipindi cha kwanza ndo kimeisha Barcelona yupo nyuma kwa Magoli mawili Ya Biblao.
Japo Biblao anamsubua Barca Mechi Nyingi wanazikutana ila leo kiwango cha Wazee wa Catalunya hapana wanapoteza mipira sana,Wachezaji wamechoka,Beki hazina mawasiliano.
Tusubiri cha pili Enrique Atakuja na Plan Gani.
____Umtiti vs Aduriz_____
Kombe la Mfalme Spain, Atl Biblao Vs Barcelona kipindi cha kwanza ndo kimeisha Barcelona yupo nyuma kwa Magoli mawili ya Biblao.
Japo Biblao anamsubua Barca mechi nyingi wanazokutana ila leo kiwango cha wazee wa Catalunya hapana, wanapoteza mipira sana.
Wachezaji wamechoka, beki hazina mawasiliano. Tusubiri cha pili Enrique atakuja na plan gani.
____Umtiti vs Aduriz_____
teh teh [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Biblao[emoji777]
Bilbao[emoji736]
Bora umemu warnbado mchezo mmoja wa marudiano catalunya billbao atatolewa
Jamaa wabishi ukiwa ambia now wana tembelea jina tu wana bishatatizo la mashabiki wa barca hawataki kuamini kuwa timu yao inahitaji mabadiliko wao wanatetea tu...Ngojea zidane abebe kombe kwanza ili wajipange.
Anaendana na post yake[emoji23]Biblao[emoji777]
Bilbao[emoji736]