Kwa msaada wako nitasimama tena!

Kwa msaada wako nitasimama tena!

Chasaka

Member
Joined
Jun 23, 2011
Posts
67
Reaction score
14
Tafadhali naomba kuuliza, hivi kuna uwezekano wa kufanya maombi TCU kama nikienda makao makuu? Maana nimefanya maombi HESLB lakini nilishindwa kufanya maombi ya TCU kutokana na kuchelewa na vocha kuwa na matatizo ktk upatikanaji huku mkoani. Tafadhali mwenye kujua anijuze tafadhali!
 
Tafadhali naomba kuuliza, hivi kuna uwezekano wa kufanya maombi TCU kama nikienda makao makuu? Maana nimefanya maombi HESLB lakini nilishindwa kufanya maombi ya TCU kutokana na kuchelewa na vocha kuwa na matatizo ktk upatikanaji huku mkoani. Tafadhali mwenye kujua anijuze tafadhali!


Daaah it's somehow complicated... if you invest personal faith and desire it can be done....vuta subira waje wenye huo ufahamu wakujuze zaidi
 
Back
Top Bottom