Kwa msimu wa kuanzia Julai-October, zao gani linalipa zaidi nikilima kwa drip Irrigation?

Kwa msimu wa kuanzia Julai-October, zao gani linalipa zaidi nikilima kwa drip Irrigation?

SIPIYU30

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
1,751
Reaction score
2,437
Nipo nyanda za Juu kusini (southern Highlands), nahitaji kulima mali mbichi kwa umwagiliaji wa drip mara baada ya msimu wa kuvuna mahindi ambayo yapo shambani kwa sasa.

Naomba ushauri nipige zao gani la drip msimu wa kiangazi. Ila usiniambie nyanya wala tikiti maana sitalima hata kwa bunduki. hazina bei kiangazi.
 
Fuatilia masoko mbalimbali ndani ya mkoa uliopo ndo utapata picha halisi ya zao la kulima ingia sokoni ongea na wafanyabiashara wa mbogamboga Kama ngogwe, bamia, maharage mabich , mahindi ya kuchoma n.k utapata pa kuanzia.
 
Nyanya,hoho,karoti,kabechi,mahindi yote sawa.Karoti januari hufika mpaka 50 kwa kiroba maana huadimika sana.Kuna miaka kitunguu kimoja huwa tunanua hadi 200 uila siku hizi mhii.
 
Nyanya,hoho,karoti,kabechi,mahindi yote sawa.Karoti januari hufika mpaka 50 kwa kiroba maana huadimika sana.Kuna miaka kitunguu kimoja huwa tunanua hadi 200 uila siku hizi mhii.
Wewe hujanielewa vizuri ndugu. Nyanya ondoa kwenye listi.
Pia nimesema nalima mwezi wa 7 kwa hiyo mwezi septemba/octoba mzigo unakuwa umetoka shambani.
Ukilima nyanya mwezi wa 7 na kuvuna octoba utalishia ng'ombe.

Mazao ambayo sijafanya tafiti ya kubadilika bei zake ni hoho na karot
 
Wewe hujanielewa vizuri ndugu. Nyanya ondoa kwenye listi.
Pia nimesema nalima mwezi wa 7 kwa hiyo mwezi septemba/octoba mzigo unakuwa umetoka shambani.
Ukilima nyanya mwezi wa 7 na kuvuna octoba utalishia ng'ombe.

Mazao ambayo sijafanya tafiti ya kubadilika bei zake ni hoho na karot
Nyanya nazozingumzia mimi sio hizo unazofikiria, nyanya zinazotoka kuanzia wa kumi na mbili mpaka wa 3.Kiangazi gani unachozungumzia wewe au kiangazi ni mwezi wa 6 na 7 tu.
 
Back
Top Bottom