Kwa msukumo wa POMBE kajikuta kamropokea mkewe kuwa anachepuka na Rafiki wa mkewe, mkewe kanitafuta, Shemu nahitaji kesho unikule kisawasawa!!

Yaani umle mke wa mwenzio ujisifie we na mbuzi una tofauti gani?Iyo ni laana ambayo ikikukosa wewe ata kizazi chako watapata coz umekusudia wewe nesi wa magovi
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Umechafukwa hahahaha eehh huyo huyo Nesi wa magovi, kamla ,amemla bao mbili , na shoo itaendelea kurudiwa .
 
🀣🀣
Kweli mkuu😬
Hakuna dokta wa kweli ana pigo za hovyo kama hili likaka.
Ndo utajuaa mwenyeweee, Mimi nmeshakuambia, Ungekua Ke, ukawa kibonge, ningekuPM.


Ona jinsi mwanamke anvyojisikiaa Raha akiwa anadate na Daktari.


Kwanza Hela zetu zipo nje nje maana zinapatikana kirahisi.


Alafu Kuna Ile hali anakuambia, Baby nmekumiss, Basi unamwambia Njoo kazin huku

Anafika Getini walinzi wanamsumbuasumbua.

Anakuoigia simu...Baby walinzi wananisumbua hapa..

Basi KIDUME unatoka zako Ofisin, na umechomekea Balaa, na Koti lako jeupeee linang'aaa, na mawanj yako ,na ndevu umeziachia.

Unaenda mpaka Getini, unamfataa unarudi naye Ndani.


Kuna wakati unamuweka Mahali akae akusubiri kidogo, pale alipokaa anasikia Ndugu wa wagonjwa wanakusifia wewe KIDUME " jamaan Huyu Daktari ana Moyo mzuri, anahudumia vizuriii, kwakweli Mungu ambariki".


Mmeona eeehhh , unajichukulia alamaaa mapemaa !!.


Unakuja kumuita Demu wako, ni fuluuuu kujimwambafai tuuuu πŸ˜‚πŸ˜‚, anajiona anatembea na mwanaume aloshuka Toka juu Kwa baba !!.



Hayaa, Sijui mama yake anashinda, utasikia, Mama ngoja nimpigie mkweo hapa ... Unapigwa , Unaenda ,unamchek mama, unamtafuta dawa, anatumia anapona πŸ˜‚πŸ˜‚

Hizo zote ni alamaaa tu unajibebea.



Kwa nini usipewe Mbususu Tano yako.


Nyie semeni yote, Nachowaambia nikwamba, kama ni Udaktari nishakua Daktari, Mfanye mnachotaka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mbuzi nyinyi , Mimi sikuwaambia muwe na matope kichwan badala ya Akili, matokeo yake mmeeenda kusomea vitu vya ajabu ajabu kabisaaa ambavyo havina impact kwenye Maisha ya mtanzania .

Kama vipi rudini shuleee
 
Jaman pombe sio maji
 
Betrayal in the City πŸ™οΈπŸŒ†
 
Mzee wa nyama nyingi 🀣 mifupa kwa mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…