Kwa mtaalamu wa sheria,hasa sheria za kazi tunaomba mawazo yake hapa.

Kwa mtaalamu wa sheria,hasa sheria za kazi tunaomba mawazo yake hapa.

Kaka horrace

Member
Joined
Aug 2, 2018
Posts
21
Reaction score
4
Wana JF salamu.
Kuna suala hapa LA kisheria kidogo au hata kama sio mtaalamu wa sheria lakini una uzoefu nalo tunaomba mchango wako hapa.

swala.1
Katika sheria za kazi (especially) utumishi wa umma,ili mtumishi afikie hatua ya kusimamishwa kazi,ni lazima kuwe kumefanyika mambo gani mpaka kufikia uamuzi huo....I mean mpaka kumsimamisha kazi mtumishi kwa kosa lolote (halali au kwa uonevu) lazima amepitia kwanza hatua gani...!!

Sijui kama nimeeleweka.

swala.2
Scenario kama hii kama hukuridhika na yaliyofanyika inabidi uchukue hatua ndani ya muda gani,muda ukipita sana huwezi tena kulifufua jambo hilo kutafuta haki...?

Mapumziko mema!
God bless you.
 
Nafasi za kuteuliwa yaàni za kisiasa ni papo kwa papo tu,
Za kuajiriwa ni lazima upewe notisi
 
[QUOTE)..MAHORO, post: 27830667, member: 168268"]Nafasi za kuteuliwa yaàni za kisiasa ni papo kwa papo tu,
Za kuajiriwa ni lazima upewe notisi[/QUOTE]
Niiweke hivi,mchakato wa MTU kusimamishwa kazi ktk utumishi ukoje
 
[QUOTE)..MAHORO, post: 27830667, member: 168268"]Nafasi za kuteuliwa yaàni za kisiasa ni papo kwa papo tu,
Za kuajiriwa ni lazima upewe notisi
Niiweke hivi,mchakato wa MTU kusimamishwa kazi ktk utumishi ukoje[/QUOTE]Kama umetuhumiwa kwa kosa lolote lile liwe la jinai au nidhamu, kwanza utapewa barua ya kujulishwa kosa lako ili uweze kujitetea atleast not less than 14days, so kama mamlaka yako ya nidhamu itaona kuna haja ya kipindi hicho kuwa suspended, utapewa barua yakuwa suspended ili kupisha uchunguzi wa shauri lako,
 
Back
Top Bottom