Kwa mtaalamu wa sheria za ardhi Tafadhari

Kwa mtaalamu wa sheria za ardhi Tafadhari

Wisdom youlth

Member
Joined
Sep 14, 2011
Posts
73
Reaction score
17
Heshima zenu wakuu,,
Jamani naomba msaada wa hili swala, kuna jirani yetu hapa kwa bi mkubwa amejenga nyumba so kuna sehemu ya nyuma amejenga fensi kiasi cha kwamba maji yote yanakuja upande wa kwetu,,! Tumejaribu kuongea nae anajibu ikibidi atupatie fedha yaani atuvue nyumba,, tumejaribu kufuatilia kwa viongozi wa mtaa but jamaa inaonekana kaosha sana nao wanatupiga kiswahili kwamba jamaa kachukua hatuazake Tano,,, sa sijajua ikoje kwamba maji hayana njia? Kama na sisi tukichukua hizo hatua tano si itakua kuziba njia? Msaada jamani
 
i inaeza kua trespass to land....so ni sheria za madhara,na co mambo ya sheria za ardhi..eb ngoja qualifed legal counsels waje..
 
i inaeza kua trespass to land....so ni sheria za madhara,na co mambo ya sheria za ardhi..eb ngoja qualifed legal counsels waje..

itz actionable in torts bt pia right to easement inatakiwa, na hii ni land matters! Peleka peleka shauri mahakamani!
 
hyo ni tort,sio land.hujataja hatua tano hzo. umepata madhara gan na hyo hali ni ya mda gan? chukua nyingine ya kujisaidia mwenyewe ikishindikana ndo uchukue hatua nlizotaja ; hyo ni nuisance unaweza kusue ktka mahakama inayostahl .waone wanasheria kwa msaada zaid.ila kuwa waz ili uweze kusaidiwa.
 
Hiyo ni tort na kama yeye ndo kawa kuta hapo inabidi atatfute njia nzuri ya kulekezea maji yake
 
Back
Top Bottom