Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Hiyo 1mil ni gharama zote ikiwa ni pamoja na kukodi shamba au naomba ufafanuzi mkuu.Kalime Water Melon Kwa Mil 1 Mkuranga, laki 5Fuga Kuku Chotara 100, Hiyo Inayobakia Iweke, Faida Yako Itakuja Hapa Watermellon 5m-1M=4M Na Kuku 2M-0.5=1.5, Therefore Grandnet Profit Ni 1.5+4=5.5M.Hii Ni Baada Ya Almost Kiezi 3.5 Hadi 4
Hata mimi sjaelewa ila ngoja nisubiri majibu yake tenaHuyu jamaa kakujibu kimkato,,kiasi gani unalima,haka moja au?hajafafanua,,kwa heka moja unapata 5m,na gharama zote ni 2m
Nipo ArushaUko mkoa gani?
Asante kwa ufafanuzi chiefNdio Mkuu, Shamba Unakodi Au Mtu Anakupa Tu, M1 Nimeifanyia Utafiti Hadi Field, Eka Moja Utapata Matunda Si Chini Ya 2500 Ambayo Utauza Wastani Wa Tsh 2000
Mkuranga matikiti chenga sana simshauri sana mtu, bora alime pilipili either mbuzi au hoho..Ndio Mkuu, Shamba Unakodi Au Mtu Anakupa Tu, M1 Nimeifanyia Utafiti Hadi Field, Eka Moja Utapata Matunda Si Chini Ya 2500 Ambayo Utauza Wastani Wa Tsh 2000
Jaribu matikiti,japo faida haitakuwa kubwa kama hiyo,ukipata hata 1/2 ya hiyo ridhikaKalime Water Melon Kwa Mil 1 Mkuranga, laki 5Fuga Kuku Chotara 100, Hiyo Inayobakia Iweke, Faida Yako Itakuja Hapa Watermellon 5m-1M=4M Na Kuku 2M-0.5=1.5, Therefore Grandnet Profit Ni 1.5+4=5.5M.Hii Ni Baada Ya Almost Kiezi 3.5 Hadi 4