PCB?? kwa matokeo yenye EES? Cheti cha chuo weka mbali sana mkuu alafu apply kwa kutumia cheti cha form 6 alafu nenda kule loan board wambie unataka mkopo! nakuhakikishia watakupa over 70%
Asante sana mkuu! vp hawawezi kuzungusha coz form 6 nilimaliza 2009! otherwise,thanks a lot
kwa mwaka huo hawatakupa,ila ukitmia cha diploma watakupa nakuhakikishia.
ngoja na mimi nisubirie majibu
Wakuu nimekaa kwenye ajira ya ualimu miaka miwili sasa! nilienda chuo cha diploma nikiwa na principal mbili (E) na Subsidiary moja (S) maana nilikuwa PCB, Sasa chuo nilipata GPA ya 3.3, vp mnashauri nitumie sifa ipi kati ya hzo mbili kuomba chuo?
chuo lazima upate.
mm niko chuo man,nilikua kama ww kabisa yani copy na kupest.ila nilicheza mishe nika apply na chet cha dip,wamenipa 50% nakula bata kawaida.so tumia TCU =>NACTE utapata chua na mkopo man wangu,nili maliza 2009 ajira 2012,mwaka jana chuo kama kawa.well come bro.
Be with GOD.
mkuu bishop nashukuru sana! mi ajira pia 2012 mwaka huu lazima nami niende chuo coz si unajua tz ilivo kubwa! ajira nilipangwa Dom ndani ndani sana huku! asante sana mkuu
vp na wewe una ishu kama hiyo nini mkuu! mi naona tatizo langu kubwa ni mode of application,kwa maana nikitumia sifa zipi itakuwa rahisi kupata chuo na mkopo pia
kwa mwaka huo hawatakupa,ila ukitmia cha diploma watakupa nakuhakikishia.
Wakuu nimekaa kwenye ajira ya ualimu miaka miwili sasa! nilienda chuo cha diploma nikiwa na principal mbili (E) na Subsidiary moja (S) maana nilikuwa PCB, Sasa chuo nilipata GPA ya 3.3, vp mnashauri nitumie sifa ipi kati ya hzo mbili kuomba chuo?
Asante sana mkuu! vp hawawezi kuzungusha coz form 6 nilimaliza 2009! otherwise,thanks a lot
dada yangu kamaliza f6 2004 kapata mkopo mwaka jana tena 90% kwa kutumia chet cha f6 nakuhakilishia ukitumia cheti cha dip watajua una kaz hivyo unajiweza! umenisoma?
ngoja na mimi nisubirie majibu
Wakuu nimekaa kwenye ajira ya ualimu miaka miwili sasa! nilienda chuo cha diploma nikiwa na principal mbili (E) na Subsidiary moja (S) maana nilikuwa PCB, Sasa chuo nilipata GPA ya 3.3, vp mnashauri nitumie sifa ipi kati ya hzo mbili kuomba chuo?