Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Hivi hakuna cha kulitangaza jina la Tanzania bali jina la Rais?
Kuna vitu kama Serengeti, Mlima Kilimanjaro, Madini Tanzanite na hata Fukwe zetu na sio Magufuli.
Hivi akili zetu zimefikia hapo kweli? Utaweza kuona jezi zimeandikwa Kenyatta au Museveni huko Misri kweli?
Kujipendekeza huku kwa TFF kuna zidi kabisa kujipendekeza kwa Kabudi.
Kwa ujinga huu Stars ataondoka bila point hata moja Misri. Uzi huu mtaukumbuka.
Kuna vitu kama Serengeti, Mlima Kilimanjaro, Madini Tanzanite na hata Fukwe zetu na sio Magufuli.
Hivi akili zetu zimefikia hapo kweli? Utaweza kuona jezi zimeandikwa Kenyatta au Museveni huko Misri kweli?
Kujipendekeza huku kwa TFF kuna zidi kabisa kujipendekeza kwa Kabudi.
Kwa ujinga huu Stars ataondoka bila point hata moja Misri. Uzi huu mtaukumbuka.