Hivi hakuna cha kulitangaza jina la Tanzania bali jina la Rais?
Kuna vitu kama Serengeti, Mlima Kilimanjaro, Madini Tanzanite na hata Fukwe zetu na sio Magufuli.
Hivi akili zetu zimefikia hapo kweli? Utaweza kuona jezi zimeandikwa Kenyatta au Museveni huko Misri kweli?
Kujipendekeza huku kwa TFF kuna zidi kabisa kujipendekeza kwa Kabudi.
Kwa ujinga huu Stars ataondoka bila point hata moja Misri. Uzi huu mtaukumbuka.
View attachment 1126206
Ni matakwa ya Naibu Rais. Naye kwenye zile za njano kaandika jina lake “MAKONDA”.Hivi hakuna cha kulitangaza jina la Tanzania bali jina la Rais?
Kuna vitu kama Serengeti, Mlima Kilimanjaro, Madini Tanzanite na hata Fukwe zetu na sio Magufuli.
Hivi akili zetu zimefikia hapo kweli? Utaweza kuona jezi zimeandikwa Kenyatta au Museveni huko Misri kweli?
Kujipendekeza huku kwa TFF kuna zidi kabisa kujipendekeza kwa Kabudi.
Kwa ujinga huu Stars ataondoka bila point hata moja Misri. Uzi huu mtaukumbuka.
View attachment 1126206
Kuna haja gani ya kuonyesha jezi ya Magufuli kwa vyombo vya habari na si ya Samatta?Hivi hakuna cha kulitangaza jina la Tanzania bali jina la Rais?
Kuna vitu kama Serengeti, Mlima Kilimanjaro, Madini Tanzanite na hata Fukwe zetu na sio Magufuli.
Hivi akili zetu zimefikia hapo kweli? Utaweza kuona jezi zimeandikwa Kenyatta au Museveni huko Misri kweli?
Kujipendekeza huku kwa TFF kuna zidi kabisa kujipendekeza kwa Kabudi.
Kwa ujinga huu Stars ataondoka bila point hata moja Misri. Uzi huu mtaukumbuka.
View attachment 1126206