Nsera Ndawani
Senior Member
- May 5, 2013
- 136
- 38
​serikali yetu inaruhusu kucha bandia, nywele bandia, tooth pick, midoli ya bunduki, magari kuukuu, kuingizwa nchini kwa kutumia pesa kidogo za kigeni zinazopatikana kwa kuuza pamba nje. Na pia inauza magogo kwa bei ya kutupa na baadaye kwenda kununua tooth pick kwa bei kubwa zinazotokana na uchafu uliyotolewa kwenye gogo, mali asili zetu ikiwemo madini,nayo yakigawiwa wageni bure. Jee kwa mtaji huu tunaweza kukua kiuchumi?