Kwa mtaji wa 10ml,unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa 10ml,unaweza kufanya biashara gani?

Kilaza

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
3,324
Reaction score
1,377
wakuu heshima kwenu,

Nimekuwa nahangaikia kupata habari au msaada wa mawazo kutoka sehemu mbalimbali nafikiri na hapa jamvini lazima kuna msaada mkubwa wa mchango naweza kupata kwani naamini hapa ni kitovu cha taaluma na ujuzi wa mambo.

Mimi ni kijana mdogo( under 20 )nimebahatika kupata zali la 10 million nimefikiria chakufanya nimeona niwekeze kwenye biashara ambayo baadae itakuwa msaada kwangu nitakapoanza kujitegemea kimaisha tatizo linakuja ni biashara gani nitafanya.

Ndugu zangu naombeni ushauri wenu wa kimawazo ni fanye biashara gani.

Natanguliza shukrani.
 
Mi nafikiri tumia tu taratibu mpaka ziishe, maana hizi biashara zinaumiza kichwa na uonevu kibao.
 
hiyo hela nyingi sana kwa mie nakushauri kama upo dar au hata mkoani fungua banda la kuonyesha mipira yaani kuanzia ligi kuu za hapa bongo na zile za ulaya utaingiza hela nyingi ambazo zitakuletea mtaji mwingine ambao utakusaidia kuendesha biashara zingine ambazo zinaenda na wakati
 
weka account pesa zako hlf nunua pikpik km mbili hv tafta watu waaminifu wakikuletea elf20 kila mmoja yani ukilaza elf40 kwa cku na kwa umri wako unaweza kupoteza muda mpk utakapoanza kujitegemea wkt milion zako 7 ziko benk na hzo ztakazozalishwa km utakua makini unaweza ukapiga hatua flani manake huwez kuwekeza sehem hlf ufatilie mwenyew myb ww ni mwanafunzi mambo mawili yatakuchanganya
 
au nunua dhahabu machimbo hlf zihifadhi sehemu mpk umri unaotaka kuanza kujitegemea dhahabu itakua iko juu sana
 
Peas uliyopata inatosha kuanzisha biashara na ukaweza kupata faida; Lakini kabla hujapewa ushauri,
Uko wapi? Kwa sababu biashara nyingine zinategemea mazingira unayotoka.
Elimu yako,hii itasaidia pia kujua ni biashara itakufaa(ingawa hii si lazima kwa sasa)
Ukijibu haya tutajua pa kuanzia kukushauri!!
Hongera kwa kupata zali ila uzitunze!!
 
Peas uliyopata inatosha kuanzisha biashara na ukaweza kupata faida; Lakini kabla hujapewa ushauri,
Uko wapi? Kwa sababu biashara nyingine zinategemea mazingira unayotoka.
Elimu yako,hii itasaidia pia kujua ni biashara itakufaa(ingawa hii si lazima kwa sasa)
Ukijibu haya tutajua pa kuanzia kukushauri!!
Hongera kwa kupata zali ila uzitunze!!
niko Arusha dar au moshi sanasana
bado student
 
Kwa vile bado unasoma tafuta viwanja ununue mpaka una maliza shule utauza na utajua unafanya nini ala kuwa makini
 
sielewi comment unazopata ni sababu ya ID yako ama ndio 2015 swag...
 
Biasha ra usikimbilie.mpaka upate uelewa mzuri...kama bishara ingekuwa rahisi kiivyo kila mtu angekuwa tajir
 
Back
Top Bottom