Eng HoffCani Sr
Member
- Nov 12, 2023
- 14
- 54
Vip uko betting halipi?Salaam wana JF,
Naombeni msaada wa ideas business yeyote ninayoweza nikafanya kwa mtaji wa 2.5M eneo ni Nzuguni Dodoma.
Natanguliza Shukrani
Tembeza sambusa...nyama na viaziSalaam wana JF,
Naombeni msaada wa ideas business yeyote ninayoweza nikafanya kwa mtaji wa 2.5M eneo ni Nzuguni Dodoma.
Natanguliza Shukrani
Uwakala, mpesa, tigo pesa n.k maeneo ya chuoSalaam wana JF,
Naombeni msaada wa ideas business yeyote ninayoweza nikafanya kwa mtaji wa 2.5M eneo ni Nzuguni Dodoma.
Natanguliza Shukrani
Sidhani kama itatosha hiyo Hela Kwa carwashKwa Dodoma hiyo amount fungua Car wash na ukipata compressor ya kujaza upepo utakuwa umetisha sana.
Hii usimamizi wake ukoje? au lazima uwe sehemu hiyohiyoKwa Dodoma hiyo amount fungua Car wash na ukipata compressor ya kujaza upepo utakuwa umetisha sana.