Kwa mtaji wa Mil 2.5, nifanye biashara gani?

Kwa mtaji wa Mil 2.5, nifanye biashara gani?

chembamba

Member
Joined
Aug 23, 2013
Posts
69
Reaction score
20
Nipo Dar es salaam, nina mtaji wa million mbili na nusu, naweza fanya biashara gani.

Naomba mchango wa mawazo
 
Mwenzako nawaza ningekuwa na at-least Milion saizi ningekuwa napakia mzigo IRINGA huko
 
Fungua grosali kama mambo ya dini hayakusumbui
 
Mpigi magoe
huko mpigi magoe hakuna shida ya maji? duka la dawa? site za ujenzi kupeleka chakula, chekechea? uhifadhi wa taka taka? embu chunguza chunguza shida za kijamii ndo unawekeza umo umo, na hazina pressure kubwa.
 
hela hiyo utapakia mzigo kiasi gani?

Mimi hapa nilipo nina access ya laki 5, kama ningepata hiyo milion 1 ningekuwa na uwezo wa kupakia gunia si chini ya 20 kwani gunia moja kule (njombe) kwa sasa ni 40,000 mpaka 46,000 plus gharama ya kusafirisha 10,000 kwa kila gunia kwa magunia 20 ntakuwa nimetumia M 1 mpaka M 1.2 kwa makadirio hiyo nyingine (laki 3) inakuwa kama ziada kwa jambo lolote litakalo tokea...!

Nikiufikisha mzigo town naweka faida ya 20,000 kwa kila gunia times 20 faida kama laki 4........ hapo hata wiki sichukui, nikipiga safari 3 kwa mwezi nna M 1.2 hivi kila mwezi faida!

Wacha kabisa mkuu kama vipi nikopeshe Milion 1 tu mkuu nikagombane na magunia ya viazi!
 
Mimi hapa nilipo nina access ya laki 5, kama ningepata hiyo milion 1 ningekuwa na uwezo wa kupakia gunia si chini ya 20 kwani gunia moja kule (njombe) kwa sasa ni 40,000 mpaka 46,000 plus gharama ya kusafirisha 10,000 kwa kila gunia kwa magunia 20 ntakuwa nimetumia M 1 mpaka M 1.2 kwa makadirio hiyo nyingine (laki 3) inakuwa kama ziada kwa jambo lolote litakalo tokea...!

Nikiufikisha mzigo town naweka faida ya 20,000 kwa kila gunia times 20 faida kama laki 4........ hapo hata wiki sichukui, nikipiga safari 3 kwa mwezi nna M 1.2 hivi kila mwezi faida!

Wacha kabisa mkuu kama vipi nikopeshe Milion 1 tu mkuu nikagombane na magunia ya viazi!

Soko halisumbui??
 
Soko halisumbui??

Kiazi kinaliwa kila iitwapo leo (Chipsi) hasa kwa maeneo ya town kama Dar.... au mnataka mpaka baharesa aanze kuuza ndo mjue inalipa?

Chakufanya tafuta wateja zako kama 10 wanaowza kutumia gunia mbili kwa siku 2, Utawapata kwenye mabaa makubwa na vijiwe vilivyoko barabarani kwenye saiti nzuri alafu uwe mzigo ukifika tu unasambaza gunia kumi, then kesho yake unamalizia.... ni simple tu mtu wangu mimi nimekwama because sijakamilisha mtaji but its very simple business!
 
Mkuu chembamba

Unaweza kufanya hivi na hiyo Million 2.5 yako, Toa laki 6 nunua guta (yanauzwa pale kikituo cha tazara kwa mbele yaani unajipatia guta jipyaaaa) then mtafute mwaminifu akuletee pesa kwa wiki 30,000.

Pesa inayobaki ni kama Mil 1.9 ingia nayo mzigoni Njombeeee fata Kiazi CAP. Hapo anza na gunia 20 kwanza, mzigo ukisha fika town unajikusanyia order kutoka kwa wateja zako then Kwa kutumia lile guta lako wasambazie kiazi wateja zako ambapo watalipia gharama ya usafiri wa guta kutoka store kwako hadi site kwao.

Ok, tupige mahesabu Guta 30,000 kwa wiki kwa mwezi ni 120,000. Then jitahidi upige tripu nne kwa mwezi ulete kiazi na hakikisha kila gunia faida yako ni 20,000 (Hii ni faida naipendekeza mimi ingawaje unaweza kuongeza zaidi ila hii itakusaidia kuuza mzigo fasta na kujipatia wateja zaidi) ambapo 20,000 kwa kila gunia kwa gunia 20 ni laki 4 ukipiga mara 4 (kwa mwezi 1) ni kama Mil 1.6 jumlisha na hesabu ya 120,000 jumla ni Mil 1 laki 7 na elfu 20 (1,720,000).

Sasa mkuu usilale komaa kwelikweli kiuanaume ndani ya miezi 6 utakuwa na si chini ya Mil 8 kwenye account yako, hiyo ni faida tu jumlisha na mtaji wako Mil 1.9 Jumla utakuwa na si chini ya Million 10.

Sasa Piga mara kumi..................Aaaaaaaaaghhhkkkk Mpwa naumia kukuona JF unatangatanga wakati umeshikilia utajiri wako mwenyewe Damnnn,,,!
 
Mimi hapa nilipo nina access ya laki 5, kama ningepata hiyo milion 1 ningekuwa na uwezo wa kupakia gunia si chini ya 20 kwani gunia moja kule (njombe) kwa sasa ni 40,000 mpaka 46,000 plus gharama ya kusafirisha 10,000 kwa kila gunia kwa magunia 20 ntakuwa nimetumia M 1 mpaka M 1.2 kwa makadirio hiyo nyingine (laki 3) inakuwa kama ziada kwa jambo lolote litakalo tokea...!

Nikiufikisha mzigo town naweka faida ya 20,000 kwa kila gunia times 20 faida kama laki 4........ hapo hata wiki sichukui, nikipiga safari 3 kwa mwezi nna M 1.2 hivi kila mwezi faida!

Wacha kabisa mkuu kama vipi nikopeshe Milion 1 tu mkuu nikagombane na magunia ya viazi!
Halafu ukifika Dar unayauzia wapi?
 
Back
Top Bottom