ndugu wadau,naomba ushauri wenu
mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu nimejibana pesa ya mkopo na kufanikiwa kupata kiasi cha Tsh 500,000
lengo kubwa katika maisha yangu ni kujiajiri,,sitaki baada ya kumaliza chuo ninuse hata ofisi ya mtu bali niende uraiani kuendeleza miradi yangu niliyoianzisha nikiwa chuoni na nimeonelea kujikita zaidi katika kilimo,,,
je kwa mtaji wa tsh 500,000 nitaweza kwa mradi wa vitunguu
pia napokea ushauri wowote kwa ajili tu ya kujiepusha na manyanyaso yakuajiliwa hapo badae nitakapo hitimu
naishi maeneo ya kibamba
natanguliza shukurani za dhati kwa wenye mapenzi mema na mimi.