Kwa mtazamo wako, tunaendelea au tunarudi nyuma?

Kwa mtazamo wako, tunaendelea au tunarudi nyuma?

Sijali

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2010
Posts
2,672
Reaction score
1,814
Vigezo vya maendeleo vikiwa:
  1. Pato la mtu binafsi.
  2. Lishe, angalau milo miwili yenye virutubisho vyote kwa watu wa mjini, mitatu mashambani.
  3. Urahisi wa kupatikana elimu inayokidhi na huduma za afya angalau za msingi (basic health services)
  4. Maji safi, umeme, angalau kwa 50% ya Watanzania.
  5. Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni.
  6. Urahisi wa kufanya biashara, kilimo, mahitaji muhimu; vyeti, passpoti n.k.
  7. Kura huru, viongozi waliochaguliwa kwa uhuru na utashi wa raia.
  8. Haki za kiraia.
Sasa linganisha mwaka 2022 na miaka 1965, 75, 85, 95, ukiweza toa taswira kwa walioishi enzi hizo.
 
Tunarudi nyuma, wanaharakati ni maadui wa taifa, tunatakiwa kusifia tu au kukaa kimya
 
Vigezo vya maendeleo vikiwa:
  1. Pato la mtu binafsi.
  2. Lishe, angalau milo miwili yenye virutubisho vyote kwa watu wa mjini, mitatu mashambani.
  3. Urahisi wa kupatikana elimu inayokidhi na huduma za afya angalau za msingi (basic health services)
  4. Maji safi, umeme, angalau kwa 50% ya Watanzania.
  5. Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni.
  6. Urahisi wa kufanya biashara, kilimo, mahitaji muhimu; vyeti, passpoti n.k.
  7. Kura huru, viongozi waliochaguliwa kwa uhuru na utashi wa raia.
  8. Haki za kiraia.
Sasa linganisha mwaka 2022 na miaka 1965, 75, 85, 95, ukiweza toa taswira kwa walioishi enzi hizo.
Nchi imesimama huku wanaccm wajinga wakibaki wanasifiana tu.
 
Hatuna mwelekeo kamili, tunaweza kusema tumesimama, tunazunguka zunguka ama tunakwenda pembeni kushoto na kulia.
 
Tunasuasua... Tatizo kila siku binadamu mnaongezeka kwa kasi...
 
Wakati wa kikwete tulipiga hatua, tena kubwa,akaja bwana yule akatuludisha nyuma kabisa hii nazungumzia upande wa Uhuru na demokrasi.Kiuchumi Magufuri alifanya vizuri kuliko raisi yeyote yule,lakini huyu mama hajui anachokifanya
 
Vigezo vya maendeleo vikiwa:
  1. Pato la mtu binafsi.
  2. Lishe, angalau milo miwili yenye virutubisho vyote kwa watu wa mjini, mitatu mashambani.
  3. Urahisi wa kupatikana elimu inayokidhi na huduma za afya angalau za msingi (basic health services)
  4. Maji safi, umeme, angalau kwa 50% ya Watanzania.
  5. Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni.
  6. Urahisi wa kufanya biashara, kilimo, mahitaji muhimu; vyeti, passpoti n.k.
  7. Kura huru, viongozi waliochaguliwa kwa uhuru na utashi wa raia.
  8. Haki za kiraia.
Sasa linganisha mwaka 2022 na miaka 1965, 75, 85, 95, ukiweza toa taswira kwa walioishi enzi hizo.

Nchi imekufa zamani toka Januari 1964 kwa Zanzibar na April 1964 kwa Tanganyika. Wewe unaongelea Marehemu.?


Dead man dont Count
 
Back
Top Bottom