Piga picha una mke kama Lucy Kibaki........hhahaha lazima urudi nyumbani saa saba usiku na kwenda kazini saa kumi na moja alfajiri, Hii kitu ndo inayomfanya Mr President kusafiri kila day. LOL
Ni kweli mkuu ila kumbuka kuwa HB na kuwa na body structure safi kuna wavutia watu wengi na hata hao ambao wameoa au kuolewa ndo maana wanatoka nje ya ndoa kutokana na vitu kama hivi.
kikubwa ni chemist? kama wasira na mamaaa aaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhh kwa raha zao na wametoa watoto wa ukwel kwa watu waliosoma pale mzumbe watakua mashahid coz hawa jamaa ye na wife walipiga mzigo pale
Jamani cha muhimu engine iwe nzima na yenye mlio mzuri ukiingiza funguo na kupiga start. Body huwa zinarekebishika unavyopenda we mwenyewe. Garage za wachina zipo kibao za ku repair bodies na pannel bitting!
Hapo,that may be one of the heart of the matter. Nakubaliana na wewe Lizzy. Kuna jamaa yangu anapata shida na mke wake, kisa nimzuri (nanimzuri kwelikweli). Tukiwa in a meeting akipigiwa simu atatoka mbio na kuendesha gari as if kuna mtu akamtuma maiiti inayofanana na yeye. Baada ya muda unalazimika kumpigia simu kama kafika salama. Kazi kwelikweli.