matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
CCM ndio chama kilichoamoniwa kutupa mwelekeo wa taifa. Hata wananchi walipoulizwa kama wanataka vyama vingi miaka ya 90 walisema kwa zaidi ya 80% CCM iendelee.
Huwa sijui kwa Mujibu wa CCM na ilani zao wao wamepanga kuumaliza umasikini lini?
Katika mikakati yao sasa hivi tuko katikqti ya safari mwanzo au mwisho?
Katika harakati zangu binafsi za kupambana na hili gonjwa la umasikinj kujua hili ni muhimu sana.
Wajuvi mnijuze.
Mtumishi Matunduizi
Huwa sijui kwa Mujibu wa CCM na ilani zao wao wamepanga kuumaliza umasikini lini?
Katika mikakati yao sasa hivi tuko katikqti ya safari mwanzo au mwisho?
Katika harakati zangu binafsi za kupambana na hili gonjwa la umasikinj kujua hili ni muhimu sana.
Wajuvi mnijuze.
Mtumishi Matunduizi