Kwa mujibu wa data, meli ya HOEGH AURORA(vehicles carrier) ndio meli inayobeba magari mengi takribani magari 9100

Kwa mujibu wa data, meli ya HOEGH AURORA(vehicles carrier) ndio meli inayobeba magari mengi takribani magari 9100

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Let's say hii meli ndio imekuja bongo na mzigo wote inabidi ushuke Bandari ya Dar es salaam yaani TPA na mdau wake DP world watabaki Wanaumiza vichwa eneo la kupaki magari yote 9100 katika good condition na kuhakikisha hawachanganyi chochote kwa maana ya rekodi za vitabu na mzigo physically.
images (4).jpeg
 
hizo ndoto zako unazoota hazina uhalisia kwani hakuna meli itakayoshusha magari 9000 bongo..ww ushasema hiyo meli ina uwezo ww kubeba magari 9000 alafu na yote hayo yashushe DAR haiwezi kutokea hata yakija elfu 9 mengine lazima yaende bandari za beira,durban,angola na mombasa..acha mawazo ya kufikirika
 
haujaeleweka imekuja ? au kama ikitokea ikaja?
Huwa inakuja ila haishushi gari zote. Ye anakisia ikitokea siku ikaja na kupakua gari zote ambazo ina uwezo wa kubeba 9000+, bandari yetu itaweza kuzishughulikia kwa wakati?
 

Attachments

  • IMG_8256.jpeg
    IMG_8256.jpeg
    734.1 KB · Views: 5
hizo ndoto zako unazoota hazina uhalisia kwani hakuna meli itakayoshusha magari 9000 bongo..ww ushasema hiyo meli ina uwezo ww kubeba magari 9000 alafu na yote hayo yashushe DAR haiwezi kutokea hata yakija elfu 9 mengine lazima yaende bandari za beira,durban,angola na mombasa..acha mawazo ya kufikirika
Uwezekano wa kufika upo mkuu sema ni vile haijatokea..
 
Back
Top Bottom