Kwa mujibu wa Dini yetu, kuna dhambi gani nafanya nikitumia Mkaa?

Kwa mujibu wa Dini yetu, kuna dhambi gani nafanya nikitumia Mkaa?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Mara moja kwa week huwa natumia mkaa kung'arishia meno. Nina meno meupe na napenda yaendelee kuwa meupe maana mademu pia wanayafagilia sana. Ila yananifanya niweze tabasamu muda wote hata ukiniudhi.

Juzi kuna mt alinikuta natumia mkaa kufanya jambo hilo. Akanambia kwa mujibu wa dini yetu ya Kiislamu. Ni dhambi. Nikamuuliza how is a sin? Hakuweza nielezea.

Nimekaa nikawa natafakari sana jambo hili but sijapata majibu hata. Kwa nini ni dhambi? Nahitaji msaada. Mnisamehe maana nina penda kuhoji najua hii pia itaniondolea sifa ya kuwa muumini.

Muumini mzuri ni yule asiye hoji.mimi nina tatizo la kuhoji kutaka kufahamu logic.
 
Ni dhambi kwasababu mwenzako amejaribu kutumia mpaka gunia zima limeisha lakini bado ana meno kama jezi ya yanga
 
Pole sana Mkuu, unajua lakini unachokiabudu?
 
Nimepapenda pale mwishoni shehe!

"Mnisamehe maana nina penda kuhoji najua hii pia itaniondolea sifa ya kuwa muumini.

Muumini mzuri ni yule asiye hoji.mimi nina tatizo la kuhoji kutaka kufahamu logic"
 
Hamna dhambi yoyote, tumia...huyo anakutaka tu, anaona wivu unavyowakenulia wanawake wengine.
 
Mara moja kwa week huwa natumia mkaa kung'arishia meno. Nina meno meupe na napenda yaendelee kuwa meupe maana mademu pia wanayafagilia sana. Ila yananifanya niweze tabasamu muda wote hata ukiniudhi.

Juzi kuna mt alinikuta natumia mkaa kufanya jambo hilo. Akanambia kwa mujibu wa dini yetu ya Kiislamu. Ni dhambi. Nikamuuliza how is a sin? Hakuweza nielezea.

Nimekaa nikawa natafakari sana jambo hili but sijapata majibu hata. Kwa nini ni dhambi? Nahitaji msaada. Mnisamehe maana nina penda kuhoji najua hii pia itaniondolea sifa ya kuwa muumini.

Muumini mzuri ni yule asiye hoji.mimi nina tatizo la kuhoji kutaka kufahamu logic.
Hakuna Dhambi kutumia Mkaa, naamini huyo Sheikh kama nisheikh kweli basi kateleza.

Hakuna Aya ya Qura'n au Hadithi ya Bwana Mtume s.a.w iliyozungumzia hilo.

Wallahu Aalam
 
Mara moja kwa week huwa natumia mkaa kung'arishia meno. Nina meno meupe na napenda yaendelee kuwa meupe maana mademu pia wanayafagilia sana. Ila yananifanya niweze tabasamu muda wote hata ukiniudhi.

Juzi kuna mt alinikuta natumia mkaa kufanya jambo hilo. Akanambia kwa mujibu wa dini yetu ya Kiislamu. Ni dhambi. Nikamuuliza how is a sin? Hakuweza nielezea.

Nimekaa nikawa natafakari sana jambo hili but sijapata majibu hata. Kwa nini ni dhambi? Nahitaji msaada. Mnisamehe maana nina penda kuhoji najua hii pia itaniondolea sifa ya kuwa muumini.

Muumini mzuri ni yule asiye hoji.mimi nina tatizo la kuhoji kutaka kufahamu logic.
Call; 0678211747
Gombeyehealthcare. Popote ulipo Tupo. Na gharama Ni nafuu kabisa.
 
Back
Top Bottom