Kwa mujibu wa mzee Magoma Yanga ule sio uwezo wao bali wa wazee

Kwa mujibu wa mzee Magoma Yanga ule sio uwezo wao bali wa wazee

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Akihojiwa leo baada ya ushindi wa goli nne,amekiri ule sio uwezo wa Yanga kwani walikwenda kuwaangukia wazee na yeye anasema walichomoa waya mmoja wa mechi za ligi.

Hata hivyo bado waya wa mechi za kimataifa hawajachomoa hadi viongozi waeleweke.

Ameendelea kusema kuwa,wakieleweka tu hata kimataifa watafanya maajabu ya ngamia kupenya tundu la sindano.

Kauli hizo hakuna kiongozi yeyote wa Yanga anaweza kuikanusha kwa kuwa ni kweli.

Mpira wa Tanzania ni mashindano ya uchawi tu na ndio maana inabidi wachezaji wakaombewe ili wafanye vizuri.

Kama mambo yenyewe ndiyo hayo,nguvu za majini zinatumika,kuna haja gani ya kusajili wachezaji kwa gharama kubwa?

Mchezaji anasajiliwa ksiha anarogwa anaishia kuwa kama veteran kila siku majeruhi kama walivyomfanya Kramo na Mayele.

Inasikitisha iwapo kweli mashabiki hadi makasisi wanashabikia utaalamu wa majini ukioneshwa kwenye soka.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Video na ushahidi wa hizi habari za kufikirika?
Mimi sio Simba wala Yanga.
 
Eti kwa mujibu, kwamba ni sheria ipo na sheria yenyewe ni Mzee Magoma.
 
Kurujuan ya mzee magoma imepotelea wapi? Tuseme nayo hupotea? Ni ushenzi na upumbavu uliokubuhu Kuingiza maswala ya ulozi na imani michezoni. watanzania wenzangu wekezeni ktk kusajili wachezaji bora,mazoezi na uongozi bora. ahsanteni
 
Akihojiwa leo baada ya ushindi wa goli nne,amekiri ule sio uwezo wa Yanga kwani walikwenda kuwaangukia wazee na yeye anasema walichomoa waya mmoja wa mechi za ligi.

Hata hivyo bado waya wa mechi za kimataifa hawajachomoa hadi viongozi waeleweke.

Ameendelea kusema kuwa,wakieleweka tu hata kimataifa watafanya maajabu ya ngamia kupenya tundu la sindano.

Kauli hizo hakuna kiongozi yeyote wa Yanga anaweza kuikanusha kwa kuwa ni kweli.

Mpira wa Tanzania ni mashindano ya uchawi tu na ndio maana inabidi wachezaji wakaombewe ili wafanye vizuri.

Kama mambo yenyewe ndiyo hayo,nguvu za majini zinatumika,kuna haja gani ya kusajili wachezaji kwa gharama kubwa?

Mchezaji anasajiliwa ksiha anarogwa anaishia kuwa kama veteran kila siku majeruhi kama walivyomfanya Kramo na Mayele.

Inasikitisha iwapo kweli mashabiki hadi makasisi wanashabikia utaalamu wa majini ukioneshwa kwenye soka.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Huyo Magoma ndiye huyu Chapombe?


View: https://youtu.be/YaX8QMomH4M?si=7P_1QGP8PFXCdmzL
 
Akihojiwa leo baada ya ushindi wa goli nne,amekiri ule sio uwezo wa Yanga kwani walikwenda kuwaangukia wazee na yeye anasema walichomoa waya mmoja wa mechi za ligi.

Hata hivyo bado waya wa mechi za kimataifa hawajachomoa hadi viongozi waeleweke.

Ameendelea kusema kuwa,wakieleweka tu hata kimataifa watafanya maajabu ya ngamia kupenya tundu la sindano.

Kauli hizo hakuna kiongozi yeyote wa Yanga anaweza kuikanusha kwa kuwa ni kweli.

Mpira wa Tanzania ni mashindano ya uchawi tu na ndio maana inabidi wachezaji wakaombewe ili wafanye vizuri.

Kama mambo yenyewe ndiyo hayo,nguvu za majini zinatumika,kuna haja gani ya kusajili wachezaji kwa gharama kubwa?

Mchezaji anasajiliwa ksiha anarogwa anaishia kuwa kama veteran kila siku majeruhi kama walivyomfanya Kramo na Mayele.

Inasikitisha iwapo kweli mashabiki hadi makasisi wanashabikia utaalamu wa majini ukioneshwa kwenye soka.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hao wazee waache kutudanganya kila siku, wanashindwa nini kuisaidia Taifa stars tuchukue hata afcon ikibidi World cup kama nguvu hizo wanazo na zinafanya kazi,kazi kuwaaminisha watu kuhusu imani zao mbovu na za kijinga kuhusu ushirikina, Ila sishangai sana maana kuna tafiti moja kama sijasahau mo dewji aliileta miaka ya nyuma kuwa Watanzania wengi wanaoogoza kuamini katika ushirikina ,hapo nakubali kwanini hatuendelei katika nyanja zote kisa imani za kishirikina
 
Back
Top Bottom