Kwa muuzaji wa nafaka za jumla

djesco

Senior Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
166
Reaction score
52
Wakuu nimefungua duka hapa dar es salaam, so kama kuna mtu yeyote anayeuza mchele na maharage ya soya kwa bei ya jumla ambayo ni reasonable tuwasiliane ili awe ananiletea kilo mia kwa brand tatu tofauti.
nitafute hapa 0786404808 0715404808
 
Nipe bei ya kilo moja ya mchele kwa kila Grade then nione kama kuna uwezekano wa kulifanya hili (hata ukinipa pm ni sawa)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…