johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
ππUngeona Lucas mwashambwa ambavyo angetimua mbio sasa
Wao ni regulators but wenye mitambo ni makampuni ya simu. Sio rahis kwa unavyodhani, maana atae ingia hasara ni makuampuni, ni kitu hawato kikubaliSipati picha TCRA ikijaribu kuminya bando kwenye mubashara
Uko serious sana ππππNdo maana Mungu katupa akili ili tuamue kwa busara. Ukimwachia mwingine akili zako akuamulie ni juu yako kwa kuwa huyo mwijaku na kitenge hawatumii akili zako usilalamike hapa kila mtu atumie akili zake vizuri.
Jf iliwahi kushambuliwa kipindi cha JK.Wao ni regulators but wenye mitambo ni makampuni ya simu. Sio rahis kwa unavyodhani, maana atae ingia hasara ni makuampuni, ni kitu hawato kikubali
Watu mnawaza mbaliUkifanya jambo jema likaambatana na mvua ujue hiyo ni Baraka, Mungu wa Mbinguni amesikia Maombi
Ila Nina uhakika Akina Mwijaku na Kitenge wasingevumilia kunyeshewa ππ
Good morning!
si kweli hata kidogo,Ukifanya jambo jema likaambatana na mvua ujue hiyo ni Baraka, Mungu wa Mbinguni amesikia Maombi
Ila Nina uhakika Akina Mwijaku na Kitenge wasingevumilia kunyeshewa ππ
Good morning!
[emoji23][emoji23]AiseeUngeona Lucas mwashambwa ambavyo angetimua mbio sasa