Kwa mwana mfalme Dube

Kwa mwana mfalme Dube

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
2,977
Reaction score
3,798
Nimesoma waraka ambao umeuandika kwa uchungu mkubwa sana,nami nimeusoma kwa uchungu mkubwa sana.

Ni kweli unapitia madhila,matusi,lawama,kejeli,kashfa na kila aina ya masimango.

Nakuhakikishia kuwa kila binadamu amepitia hali hiyo,sio wewe tu,na hata hao wanaokutukana,wamewahi kupitia hali kama hiyo,huo ndio ubinadamu. Jiulize je wewe umewahi kupitia shida au mateso kuliko Joshuo Nkomo?,kuliko Robert Mugabe?

Watu hao walipitia mateso makubwa lakini waliongeza bidii na wakafaulu,ndivyo na wewe nakushauri ufanye,ongeza bidii na kumtumainia Mungu tu,hivi

Sasa wako wapumbavu wengi sana watakuja kwako kujifanya ndio ma masiha kwako,kwamba wanamjua mganga,sangoma ambae anaweza kukutibu ulivyorogwa,kataaa,ni Mungu pekee ndio atakayekusimamisha na uwashinde hao maadui zako.

Hayo mateso yako yote yageuze yawe fursa kwako,kukuchochea ufanikiwe. Na kwa lugha ya kwenu😛amberi ne chimurenga
 
Nimesoma waraka ambao umeuandika kwa uchungu mkubwa sana,nami nimeusoma kwa uchungu mkubwa sana.Ni kweli unapitia madhila,matusi,lawama,kejeli,kashfa na kila aina ya masimango.

Nakuhakikishia kuwa kila binadamu amepitia hali hiyo,sio wewe tu,na hata hao wanaokutukana,wamewahi kupitia hali kama hiyo,huo ndio ubinadamu.Jiulize je wewe umewahi kupitia shida au mateso kuliko Joshuo Nkomo?,kuliko Robert Mugabe?

Watu hao walipitia mateso makubwa lakini waliongeza bidii na wakafaulu,ndivyo na wewe nakushauri ufanye,ongeza bidii na kumtumainia Mungu tu,hivi sasa wako wapumbavu wengi sana watakuja kwako kujifanya ndio ma masiha kwako,kwamba wanamjua mganga,sangoma ambae anaweza kukutibu ulivyorogwa,kataaa,ni Mungu pekee ndio atakayekusimamisha na uwashinde hao maadui zako.

Hayo mateso yako yote yageuze yawe fursa kwako,kukuchochea ufanikiwe.Na kwa lugha ya kwenu😛amberi ne chimurenga
Dube ni mpumbavu sana.
Amelelewa na kutunzwa vizuri sana akiwa Azam,lakini ametoka Azam kwa mabango na kashfa kwa maboss wake.Alifanyiwa utu sana akiwa Azam ingawa hakuipa thamani waliyompa wao.

Kuondoka kwa kukashifu waliomsaidia sio uungwana kabisa na anastahili kuadhibiwa zaidi ya hapo unless aombe msamaha wa dhati.
Mimi namwambia ubaya ubwela
 
Dube ni mpumbavu sana.
Amelelewa na kutunzwa vizuri sana akiwa Azam,lakini ametoka Azam kwa mabango na kashfa kwa maboss wake.Alifanyiwa utu sana akiwa Azam ingawa hakuipa thamani waliyompa wao.

Kuondoka kwa kukashifu waliomsaidia sio uungwana kabisa na anastahili kuadhibiwa zaidi ya hapo unless aombe msamaha wa dhati.
Mimi namwambia ubaya ubwela
Eti leo ndio anatakakuonewa huruma,,, mamaeh.
 
Dube ni mpumbavu sana.
Amelelewa na kutunzwa vizuri sana akiwa Azam,lakini ametoka Azam kwa mabango na kashfa kwa maboss wake.Alifanyiwa utu sana akiwa Azam ingawa hakuipa thamani waliyompa wao.

Kuondoka kwa kukashifu waliomsaidia sio uungwana kabisa na anastahili kuadhibiwa zaidi ya hapo unless aombe msamaha wa dhati.
Mimi namwambia ubaya ubwela
Mungu wake yupo atamlinda
 
Dube ni mpumbavu sana.
Amelelewa na kutunzwa vizuri sana akiwa Azam,lakini ametoka Azam kwa mabango na kashfa kwa maboss wake.Alifanyiwa utu sana akiwa Azam ingawa hakuipa thamani waliyompa wao.

Kuondoka kwa kukashifu waliomsaidia sio uungwana kabisa na anastahili kuadhibiwa zaidi ya hapo unless aombe msamaha wa dhati.
Mimi namwambia ubaya ubwela
Mbona azam hawakulei wewe ?
 
Dube ni mpumbavu sana.
Amelelewa na kutunzwa vizuri sana akiwa Azam,lakini ametoka Azam kwa mabango na kashfa kwa maboss wake.Alifanyiwa utu sana akiwa Azam ingawa hakuipa thamani waliyompa wao.

Kuondoka kwa kukashifu waliomsaidia sio uungwana kabisa na anastahili kuadhibiwa zaidi ya hapo unless aombe msamaha wa dhati.
Mimi namwambia ubaya ubwela
Hizi ni akili na mawazo ya kitumwa
Unamkumbuka TORRES alitoka Liverpool kwenda Chelsea nn kilitokea?
Shevchenko alìtoka AC Milan 2 Chelsea akachemka kule Chelsea alitukana?
Mbape je kamtukana nani?
 
Back
Top Bottom