kwa mwanaume aliyesiriaz

kwa mwanaume aliyesiriaz

mawanjeni

Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
40
Reaction score
7
nina miaka 27 umbo la kibantu,maji ya kunde nina mtoto mmoja niliachana na mzazi mwenzangu miaka 4 iliyopita nina degree moja nimeajiriwa na serikal pia ni mjasiria mal mwanaume yeyote single fathers watapewa kipaumbele awe anashunguli ya kujiongezea kipato ani pm
 
duh inatisha, ungejielezea zaid haiba yako, ulivyotajA hapo wengi wanavyo, lkn kweli unataka?

uelezee kidogo tabia yako hupendi nini na ama unapenda nini.

Inawezekana sana lkn ukumbuke wewe unasiku chache sana humu jf, ulijuaje utapata mtu humu? jielezee,

usichoke:frusty:
 
MUNGU akusikie na kukujibu haja ya moyo wako but ilikuaje mkaachana? Haya tuyaache kwanza hayo
 
nina miaka 27 umbo la kibantu,maji ya kunde nina mtoto mmoja niliachana na mzazi mwenzangu miaka 4 iliyopita nina degree moja nimeajiriwa na serikal pia ni mjasiria mal mwanaume yeyote single fathers watapewa kipaumbele awe anashunguli ya kujiongezea kipato ani pm

Me ni best farther nami ni pm
 
Mawanjeni...umenikumbusha tulikuwa tunaenda kulima mahindi mawanjeni aiseee....!!!!
 
nina miaka 27 umbo la kibantu,maji ya kunde nina mtoto mmoja niliachana na mzazi mwenzangu miaka 4 iliyopita nina degree moja nimeajiriwa na serikal pia ni mjasiria mal mwanaume yeyote single fathers watapewa kipaumbele awe anashunguli ya kujiongezea kipato ani pm
Dada jielezee kiundani unaweza kupata zali kwangu!
 
nina miaka 27 umbo la kibantu,maji ya kunde nina mtoto mmoja niliachana na mzazi mwenzangu miaka 4 iliyopita nina degree moja nimeajiriwa na serikal pia ni mjasiria mal mwanaume yeyote single fathers watapewa kipaumbele awe anashunguli ya kujiongezea kipato ani pm

Ingekuwa hujazaa sawa. Kwanini baba mtoto kasepa?? Lazima kuna tatizo mahali. #SamahaniLakini

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
nipo ndani ya vigezo ambavyo un vitaka pia mi najishughlisha nipo mkoa wa iringa naomba yuendelee kuwasiliana
 
Nina watoto wawili wangu kwa mama tofauti,
Nina mdogo wangu ananitegemea,
Nina mtoto wa rafiki yangu nae Ananitegemea,
Elimu namalizia masters,
Umri miaka 32
Kazi biashara Kwa sasa mpaka nimalize MBA,
Dini Muislam

NINAFAA????
 
mim natafuta lakin huna vigezo pia inaonekana huwezi jieleza vizuri
 
nina miaka 27 umbo la kibantu,maji ya kunde nina mtoto mmoja niliachana na mzazi mwenzangu miaka 4 iliyopita nina degree moja nimeajiriwa na serikal pia ni mjasiria mal mwanaume yeyote single fathers watapewa kipaumbele awe anashunguli ya kujiongezea kipato ani pm

Kama hukufanikiwa nicheki 0764777799
 
Hata mimi natafuta single mother kama wewe, lkn sina mtoto! Ila kama uko interested ok, we have to be in touch.
 
Umbo la kibantu? Nina mashaka na hilo umbo, icjekuwa km la Khadija Kopa au Aisha Mashauzi.
 
nina miaka 27 umbo la kibantu,maji ya kunde nina mtoto mmoja niliachana na mzazi mwenzangu miaka 4 iliyopita nina degree moja nimeajiriwa na serikal pia ni mjasiria mal mwanaume yeyote single fathers watapewa kipaumbele awe anashunguli ya kujiongezea kipato ani pm

umejieleza vizuri sana na unajiamini pia. Mungu akuongoze na kukujalia. mia
 
Back
Top Bottom