Kwa mwendo huu, labda tuige ukandamizaji kisiasa wa Tanzania

Kwa mwendo huu, labda tuige ukandamizaji kisiasa wa Tanzania

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Juzi nilisoma sehemu kwamba Magufuli amezima mikutano yote ya kisiasa Tanzania, na yeyote atakayethubutu atakiona. Hapo nikajikuta nawahurumia Wabongo, nikaona kama watu wanaoishi kwenye mateso sana kiasi kwamba hata pa kupumulia hamna, na bado wako nyuma sana kidemokrasia.

Lakini baada ya matukio ya hivi majuzi hapa kwetu, nimeanza kuona mantiki ya Magufuli. Wanasiasa wetu wamepitiliza mipaka, kila yeyote akipata fursa ya kipaza sauti anaongea pumba na uchochezi wa hali ya juu.

Demokrasia na uhuru wa maoni ni jambo nzuri kwenye nchi yoyote ile, lakini vyote vina mipaka. Sasa hapa unakuta hao hao wanasiasa wakichukuliwa hatua, wanawachochea wafuasi wao na kuzua vurugu.
Hivi Afrika tupo tayari kwa demokrasia kweli, tunaelewa uhuru wa maoni?? Kwa usalama wa taifa na ushikamano, labda tuige Tanzania na kukubali kukandamizwa, japo Wakenya kama navyowafahamu hapo utakua unajipalia mkaa, ni vigumu kukaliwa. Ni maoni yangu tu, nawasilisha.

"When we air our views in parliament we are thrown out. Outside parliament, our rallies are banned," Zitto Kabwe, leader of the opposition ACT Wazalendo party, tweeted.
Tanzania police uses teargas at opposition rally, bans protests
 
Siasa za Afrika hazina cha katiba wala nini
Muda bado kuishi kidemokrasia

Wengi wapo kusaka madaraka tu

2c85964382e0ffcd59c63db0e107dd2c.jpg
f6aa5c70e0683d6bb0ab4c06764a3dd7.jpg
 
Afrika hatujawa tayari kwa ajili ya demecracy kwa 100%. Viongozi karibu wote wana tamaa ya madaraka kuwaachia uhuru mkubwa ni hatari. Subirini muone yatakayowakuta, moja ya makosa makubwa mtakayoyafanya ni kuwaondoa watendaji wa IEBC kipindi kama hiki ambacho hamuaminiani. Kuna uwezekano mkubwa mkajikuta katika mgogoro mkubwa zaidi wa kuwapata watendaji wengine. Mchakato uliopita wa kuwapata akina Isac Hasani na Oswango haukua na tension kubwa sana ya kisiasa kama hii ya sasa hivi. Nakumbuka Isac Hassan alikua anatuhumiwa kua ni mtu wa Odinga lakni halikuzua mgogoro safari hii tuhuma kama hizi hazitavumliwa.
 
Hakuna anayekandamizwa hapana, unatakiwa kujua kwamba siasa za Afrika,sio za kujenga hoja,nyingi zimejikita kwenye uchochezi,haya hapo kwenu kenya nimashahidi,so sisi hatutaki kuruhusu uchochezi.
 
Kwahio umeona Tanzania tu
Leo Odinga katua kufuatilia mbunge alie kamatwa wa ODM

Kwanini akamatwe

Nenda kasikie sauti hii
https://m.soundcloud.com/starvoices/gatundu-south-mp-moses-kuria-bans-the-star-from-covering-him kuna uhuru wowote kenya
Kwanini mzuie chombo kutoa habari

Halafu nyie wanaCCM huwa siwaelewi elewi maana huwa mnashabikia na kufurahishwa na viongozi wetu wa upinzani lakini huko Bongo mnashabikia wakati wapinzani wenu akina Kabwe na Mbowe wanadhulumiwa.
 
Halafu nyie wanaCCM huwa siwaelewi elewi maana huwa mnashabikia na kufurahishwa na viongozi wetu wa upinzani lakini huko Bongo mnashabikia wakati wapinzani wenu akina Kabwe na Mbowe wanadhulumiwa.
Mtu akienda nje na Akili zako basi ni Ccm!!

Siasa za kenya na Tanzania zinautofauti
 
Wameanza kugeukana polepole


What does new MPs’ lobby mean for Uhuru?
What does new MPs’ lobby mean for Uhuru?

The formation of a new parliamentary caucus group by MPs from Nyandarua, Nakuru and Laikipia counties poses a new headache for President Uhuru Kenyatta.

The MPs forming the Aberdare West Parliamentary Group accuse their counterparts from the larger central Kenya of double standards.

The group, chaired by Kipipiri MP Samuel Gichigi, plans to meet President Kenyatta to discuss issues that affect their three counties.

They also plan to meet National Assembly Speaker Justin Muturi.

The group split from the Central Kenya Parliamentary Group chaired by Dagoretti South MP Dennis Waweru.

Formed in Nyahururu Town last weekend, the group says MPs from Kiambu, Murang’a, Nyeri and Kirinyaga are using them as a rubberstamp.
 
Wameanza kugeukana polepole


What does new MPs’ lobby mean for Uhuru?
What does new MPs’ lobby mean for Uhuru?

The formation of a new parliamentary caucus group by MPs from Nyandarua, Nakuru and Laikipia counties poses a new headache for President Uhuru Kenyatta.

The MPs forming the Aberdare West Parliamentary Group accuse their counterparts from the larger central Kenya of double standards.

The group, chaired by Kipipiri MP Samuel Gichigi, plans to meet President Kenyatta to discuss issues that affect their three counties.

They also plan to meet National Assembly Speaker Justin Muturi.

The group split from the Central Kenya Parliamentary Group chaired by Dagoretti South MP Dennis Waweru.

Formed in Nyahururu Town last weekend, the group says MPs from Kiambu, Murang’a, Nyeri and Kirinyaga are using them as a rubberstamp.
Hahahaha Motochini wewe hujui Wakikuyu.....they can never be split its just politics.
 
Hahahaha Motochini wewe hujui Wakikuyu.....they can never be split its just politics.

Ila mie nimependa dini mbalimbali kenya leo zimekuwa pamoja
Kuliko makabila haya mawili du!




VIONGOZI wa kidini wanataka kesi dhidi ya wanasiasa wanaotoa matamshi ya uchochezi zisikilizwe na kuamuliwa ndani ya siku 14.

Viongozi hao wakiongozwa na Askofu Cornelius Korir wa Muungano wa Maaskofu wa Katoliki Kenya (KCCB), Mark Kariuki wa Muungano wa Makanisa ya Kiinjili (EAK) Mark, Kasisi Canon Peter Karanja wa Baraza la Makanisa nchini (NCCK), Festus Njagi wa Seventh Day Adventist Church (SDA) na Hassan Ole Naado wa Baraza la Waislamu nchini (Supkem), walisema kujikokota kwa kesi za uchochozi mahakamani kunatoa mwanya kwa wanasiasa kuendelea kutoa matamshi yanayolenga kugawanya Wakenya kwa misingi ya kikabila.

“Kumekuwa na ongezeko la wanasiasa wanaotoa matamshi ya uchochezi yanayolenga kugawanya nchi.

Hali hii ni ya kuogofya na hili alifai kuruhusiwa kuendelea haswa ikizingatiwa kwamba Uchaguzi Mkuu wa 2017 unakaribia,” akasema Askofu Korir.

Viongozi hao walihimiza Idara ya Mahakama, Inspekta wa Polisi Joseph Boinnet na afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) Keriako Tobiko kuhakikisha kwamba kesi za uchochezi zilizoko mahakamani zinasikilizwa na kuamuliwa haraka iwezekanavyo.

“Wanaojihusisha na matamshi ya uchochezi waadhibiwe vikali kwa mujibu wa sheria na tunahimiza afisi za Inspekta wa Polisi, DPP na Idara ya Mahakama kujadiliana kuhusu namna ya kushughulikia kesi za uchochezi kwa haraka.

Tunapendekeza kwamba muda wa kusikiliza na kuamua kesi za uchochezi upunguzwe hadi wiki mbili,” akasema Kasisi Korir.

Wakati huo huo, viongozi hao walitaka wabunge kuwasilisha bungeni kwa haraka hoja ya kutaka kufanyia mageuzi Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka.

Uchaguzi huru na wa haki
Viongozi hao waliokuwa wakihutubia wanahabari jijini Nairobi walisema hoja hiyo ni muhimu katika kuhakikisha kwamba Uchaguzi Mkuu wa 2017 unakuwa huru na wa haki.

“Tunaomba wanasiasa kutoka mirengo ya Cord na Jubilee kupatia kipaumbele shughuli hiyo ya kutaka kufanyia mabadiliko tume ya IEBC.

Hatua ya kwanza ni kuwasilisha hoja katika Bunge la Kitaifa na Seneti ili kutoa mwanya kuundwa kwa kamati maalumu itakayoanzisha mchakato wa kukusanya maoni kutoka kwa Wakenya,” akasema Askofu Korir ambaye ni askofu wa Dayosisi ya Eldoret.

Katika muda wa wiki mbili zilizopita, mirengo ya Cord na Jubilee imekuwa ikivutana kuhusu idadi ya wawakilishi watakaoshiriki mazungumzo hayo.

Cord wanataka idadi ya washiriki ipunguzwe kutoka 11 hadi saba kila upande. Kadhalika, upinzani wanataka mazungumzo hayo kufanyika nje ya bunge.

Upande wa Jubilee umeshikilia kuwa mazungumzo hayo ni sharti yafanyike kwa kufuata utaratibu wa bunge kulingana na Katiba.


WAMEBAKIA KINA MK254 NA UKABILA WAO
WANACHOCHEA MOTO
 
Ila mie nimependa dini mbalimbali kenya leo zimekuwa pamoja
Kuliko makabila haya mawili du!




VIONGOZI wa kidini wanataka kesi dhidi ya wanasiasa wanaotoa matamshi ya uchochezi zisikilizwe na kuamuliwa ndani ya siku 14.

Viongozi hao wakiongozwa na Askofu Cornelius Korir wa Muungano wa Maaskofu wa Katoliki Kenya (KCCB), Mark Kariuki wa Muungano wa Makanisa ya Kiinjili (EAK) Mark, Kasisi Canon Peter Karanja wa Baraza la Makanisa nchini (NCCK), Festus Njagi wa Seventh Day Adventist Church (SDA) na Hassan Ole Naado wa Baraza la Waislamu nchini (Supkem), walisema kujikokota kwa kesi za uchochozi mahakamani kunatoa mwanya kwa wanasiasa kuendelea kutoa matamshi yanayolenga kugawanya Wakenya kwa misingi ya kikabila.

“Kumekuwa na ongezeko la wanasiasa wanaotoa matamshi ya uchochezi yanayolenga kugawanya nchi.

Hali hii ni ya kuogofya na hili alifai kuruhusiwa kuendelea haswa ikizingatiwa kwamba Uchaguzi Mkuu wa 2017 unakaribia,” akasema Askofu Korir.

Viongozi hao walihimiza Idara ya Mahakama, Inspekta wa Polisi Joseph Boinnet na afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) Keriako Tobiko kuhakikisha kwamba kesi za uchochezi zilizoko mahakamani zinasikilizwa na kuamuliwa haraka iwezekanavyo.

“Wanaojihusisha na matamshi ya uchochezi waadhibiwe vikali kwa mujibu wa sheria na tunahimiza afisi za Inspekta wa Polisi, DPP na Idara ya Mahakama kujadiliana kuhusu namna ya kushughulikia kesi za uchochezi kwa haraka.

Tunapendekeza kwamba muda wa kusikiliza na kuamua kesi za uchochezi upunguzwe hadi wiki mbili,” akasema Kasisi Korir.

Wakati huo huo, viongozi hao walitaka wabunge kuwasilisha bungeni kwa haraka hoja ya kutaka kufanyia mageuzi Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka.

Uchaguzi huru na wa haki
Viongozi hao waliokuwa wakihutubia wanahabari jijini Nairobi walisema hoja hiyo ni muhimu katika kuhakikisha kwamba Uchaguzi Mkuu wa 2017 unakuwa huru na wa haki.

“Tunaomba wanasiasa kutoka mirengo ya Cord na Jubilee kupatia kipaumbele shughuli hiyo ya kutaka kufanyia mabadiliko tume ya IEBC.

Hatua ya kwanza ni kuwasilisha hoja katika Bunge la Kitaifa na Seneti ili kutoa mwanya kuundwa kwa kamati maalumu itakayoanzisha mchakato wa kukusanya maoni kutoka kwa Wakenya,” akasema Askofu Korir ambaye ni askofu wa Dayosisi ya Eldoret.

Katika muda wa wiki mbili zilizopita, mirengo ya Cord na Jubilee imekuwa ikivutana kuhusu idadi ya wawakilishi watakaoshiriki mazungumzo hayo.

Cord wanataka idadi ya washiriki ipunguzwe kutoka 11 hadi saba kila upande. Kadhalika, upinzani wanataka mazungumzo hayo kufanyika nje ya bunge.

Upande wa Jubilee umeshikilia kuwa mazungumzo hayo ni sharti yafanyike kwa kufuata utaratibu wa bunge kulingana na Katiba.


WAMEBAKIA KINA MK254 NA UKABILA WAO
WANACHOCHEA MOTO
Dini + ukabila matokeo yake ni siasa mbovu.
 
Afrika hatujawa tayari kwa ajili ya demecracy kwa 100%. Viongozi karibu wote wana tamaa ya madaraka kuwaachia uhuru mkubwa ni hatari. Subirini muone yatakayowakuta, moja ya makosa makubwa mtakayoyafanya ni kuwaondoa watendaji wa IEBC kipindi kama hiki ambacho hamuaminiani. Kuna uwezekano mkubwa mkajikuta katika mgogoro mkubwa zaidi wa kuwapata watendaji wengine. Mchakato uliopita wa kuwapata akina Isac Hasani na Oswango haukua na tension kubwa sana ya kisiasa kama hii ya sasa hivi. Nakumbuka Isac Hassan alikua anatuhumiwa kua ni mtu wa Odinga lakni halikuzua mgogoro safari hii tuhuma kama hizi hazitavumliwa.

Hapo kwenye red umechemsha mkuu bro. So disappointing that African young men are the ones saying we aren't ready for democracy, wazee kidogo ninawaelewa...
 
Of all the devices available to men to run their states, none performs better than democracy. Contemplate not of the alternatives.

The only reason why democracy seems to fail is bcos both the rulers and the ruled are failing to live within its precepts.
 
Of all the devices available to men to run their states, none performs better than democracy. Contemplate not of the alternatives.

The only reason why democracy seems to fail is bcos both the rulers and the ruled are failing to live within its precepts.

A leader picking up the mic and publicly calling for assassination of a fellow leader, that's a new level of impunity. We are yet to understand what democracy is all about.
 
Back
Top Bottom