amshapopo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 1,834
- 4,161
Ndugu zangu,
Kwa yanayoendelea ya baadhi ya watu walio ndani ya serikali kutaja maovu yanayofanyika kipindi cha chaguzi zilizopita kuhujumiwa , napendekeza wapinzani msikubali kuwa kondoo. Daini haki yenu coz kwa kukaa kimya mnawapa vichwa hao wanaofanyia dhulma.
Fanyeni mpango kuhakikisha kura zenu hazichakachuliwi, hamasisheni wanaosapati itikadi zetu hawabanduki vituoni mpaka haki itendeke. Vinginevyo kwa mwendo huu ni kutwanga maji kwenye kinu.
Nawasilsha.
Soma Pia: DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa
Kwa yanayoendelea ya baadhi ya watu walio ndani ya serikali kutaja maovu yanayofanyika kipindi cha chaguzi zilizopita kuhujumiwa , napendekeza wapinzani msikubali kuwa kondoo. Daini haki yenu coz kwa kukaa kimya mnawapa vichwa hao wanaofanyia dhulma.
Fanyeni mpango kuhakikisha kura zenu hazichakachuliwi, hamasisheni wanaosapati itikadi zetu hawabanduki vituoni mpaka haki itendeke. Vinginevyo kwa mwendo huu ni kutwanga maji kwenye kinu.
Nawasilsha.
Soma Pia: DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa