KWA MWENDO HUU WA POLISI nini kifanyike?

Kiba

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2012
Posts
459
Reaction score
62
Hakika ukifikishwa ktk kituo kidogo cha polisi Lamadi wilayani Magu mkoani Simiyu, uwe na kosa kubwa au dogo utakutana na mkuu wa kituo hicho ambaye kashapewa jina la "laki" kutokana tabia yake ya kuomba rushwa ya Laki pasipo kuangualia uzito wa kosa.

Ni maombi yangu kwa takukuru kuangalia je jeshi hili lina ukweli kwenye makosa haya kwa raia.
 
Jina lake kamili ni nani?

Huyu tunamuandalia 'laki ya moto' alafu tutajua nani ni mtetezi wa hawa wala rushwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…