Kwa mwenendo huu wa kukatika ovyo kwa umeme kunavyotutesa tutake tusitake tutamkumbuka Magufuli

Kwa mwenendo huu wa kukatika ovyo kwa umeme kunavyotutesa tutake tusitake tutamkumbuka Magufuli

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Haya mambo ya kukatika kwa umeme tulishayasahau tangia mwanzoni mwa utawala wa awamu ya tano.

Tunaotegemea umeme kwa majukumu yetu ya kila siku, imekuwa shida kubwa sana kwa kiwango ambacho shughuli zetu zinaathirika sana.

Kwa hali ilivyo sasa hakuna namna usimkumbuke Magufuli, maana alikomesha kabisa habari za kukatika ovyo umeme.
 
Haya mambo ya kukatika Kwa umeme tulishayasahau tangia mwanzoni mwa utawala wa awamu ya tano. Tunaotegemea umeme Kwa majukumu yetu ya Kila siku imekuwa shida kubwa sana kwa kiwango ambacho shughuli zetu zinaathirika sana.

Kwa hali ilivyo sasa hakuna namna usimkumbuke magufuli maana alikomesha kabisa habari za kukatika hovyo umeme.
1669111243873.png
 
Haya mambo ya kukatika Kwa umeme tulishayasahau tangia mwanzoni mwa utawala wa awamu ya tano. Tunaotegemea umeme Kwa majukumu yetu ya Kila siku imekuwa shida kubwa sana kwa kiwango ambacho shughuli zetu zinaathirika sana.

Kwa hali ilivyo sasa hakuna namna usimkumbuke magufuli maana alikomesha kabisa habari za kukatika hovyo umeme.
Hakuna ambaye anaweza kumkumbuka jpm kamwe. Ni aheli umeme kukatika ni swala la mda tu kuliko kuokotwa mizoga ya watu waliuawa kila Kona eti hutaki yeyote akukosoe. Na ikumbukwe tatizo lilopo sasa na jpm aliyelitengeneza kwa kutofanya matengenezo ya kitambo nchi nzima na ikumbukwe mvua hazinyeshi pia. Sidhani Kama Samia anaweza force mvua zinyeshe
 
Haya mambo ya kukatika Kwa umeme tulishayasahau tangia mwanzoni mwa utawala wa awamu ya tano. Tunaotegemea umeme Kwa majukumu yetu ya Kila siku imekuwa shida kubwa sana kwa kiwango ambacho shughuli zetu zinaathirika sana.

Kwa hali ilivyo sasa hakuna namna usimkumbuke magufuli maana alikomesha kabisa habari za kukatika hovyo umeme.
Hivi Kumkumbuka huwa ni tishio kwa nani? Sidhani kama kumkumbuka kutaleta umeme.
 
Siku Magufuli anaapishwa 2015 mvua ilinyesha uwanjani,na zilikuwa za kutosha misimu yote, alipokufa tu na mvua zimekufa nchini.
 
Mnapata wapi muda wa kuikumbuka ile kambale??

Hii nchi ina mgao kwasababu wananchi wake ni ng’ombe.
 
Hakuna ambaye anaweza kumkumbuka jpm kamwe. Ni aheli umeme kukatika ni swala la mda tu kuliko kuokotwa mizoga ya watu waliuawa kila Kona eti hutaki yeyote akukosoe. Na ikumbukwe tatizo lilopo sasa na jpm aliyelitengeneza kwa kutofanya matengenezo ya kitambo nchi nzima na ikumbukwe mvua hazinyeshi pia. Sidhani Kama Samia anaweza force mvua zinyeshe
unaandika huu utumbo halafu unamtumia shaka hamdu screenshot kama ushahidi akulipe elfu tatu yako.

hii nchi ina matatizo mengi lakini matatizo kero ni mashoga,uvccm.
 
Back
Top Bottom