Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Wamekuja mabinti wawil kupanga. Nikawapangisha chumba baada ya muda Wakaanza kutembea na Wanaume za watu wa vile vyumba vingine.
Wake zao nao wakaanza back2sender wakaanza kutembea na vijana wa mtaaani. Juzi wamepigana sana kisa simu na message wale Wanandoa.
Wale Vijana wa mtaani baadhi ni waathirika wanakula mbaazi mwaka wa 6 leo hiii na wameambukiza sana watoto wa shule.
Wana afya asikwambie mtu. Nawaza kukimbiaaa huu mtaa nimefikiria mwisho watakuja dilli na wake zetu.
DJ Mod Nipe wimboooo wa Lyon of Judah I trust on u from Nigeria sio kwa kasi hii.
Wake zao nao wakaanza back2sender wakaanza kutembea na vijana wa mtaaani. Juzi wamepigana sana kisa simu na message wale Wanandoa.
Wale Vijana wa mtaani baadhi ni waathirika wanakula mbaazi mwaka wa 6 leo hiii na wameambukiza sana watoto wa shule.
Wana afya asikwambie mtu. Nawaza kukimbiaaa huu mtaa nimefikiria mwisho watakuja dilli na wake zetu.
DJ Mod Nipe wimboooo wa Lyon of Judah I trust on u from Nigeria sio kwa kasi hii.