Halo sio nzuri mkuuPole kwa kadhia hiyo
💯Ebu hama kabisa mitaani hiyo ya uswahilini huwa ni nuksi hata kwa maendeleo yako
Watakufuata hukohuko.Ni msako mkali wa sako kwa bako.Wamekuja mabinti wawil kupanga
Nkaawapangisha chunba
Wakaanza kutembea na waume za watu wa vile vyumba vingine
Wake zao nao wakaanza back2sender wakaanza kutembea na vijana wa mtaaani
Juzi wamepigana sanaaa kisa simu na msg wale wanandoa
Wale vijana wa mtaan baadhi n waathirika wanakula mbaazi mwaka wa 6 leo hiii na wameambukiza sana watoto wa shule
Wana afya asikwambie mtu
Nawaza kukimbiaaa huu mtaaaa nimefikiria mwisho wataakuja dilli na wake zetu
Dj...mod
Nipe wimboooo wa
Lyon of judah I trust on u frm Nigeria sio kwa kasihiii
NduguuWatanzania tunajisahau sana aseee....ukimwi hatari sasa tunaogopa UTI sugu kulikp ukimwiii
Taja Mtaa KabisaWamekuja mabinti wawil kupanga
Nkaawapangisha chunba
Wakaanza kutembea na waume za watu wa vile vyumba vingine
Wake zao nao wakaanza back2sender wakaanza kutembea na vijana wa mtaaani
Juzi wamepigana sanaaa kisa simu na msg wale wanandoa
Wale vijana wa mtaan baadhi n waathirika wanakula mbaazi mwaka wa 6 leo hiii na wameambukiza sana watoto wa shule
Wana afya asikwambie mtu
Nawaza kukimbiaaa huu mtaaaa nimefikiria mwisho wataakuja dilli na wake zetu
Dj...mod
Nipe wimboooo wa
Lyon of judah I trust on u frm Nigeria sio kwa kasihiii
Shida haziiiishi hadi wazzeeee toka wajue kunaaa mbaaazi za kunywaWatu wanajisahau kisa manyeg* ya muda mfupi kitawalamba wengi na mkeo kama ni nginjanginja lazma wamtokelezee
CCM ni ileleWamekuja mabinti wawil kupanga
Nkaawapangisha chunba
Wakaanza kutembea na waume za watu wa vile vyumba vingine
Wake zao nao wakaanza back2sender wakaanza kutembea na vijana wa mtaaani
Juzi wamepigana sanaaa kisa simu na msg wale wanandoa
Wale vijana wa mtaan baadhi n waathirika wanakula mbaazi mwaka wa 6 leo hiii na wameambukiza sana watoto wa shule
Wana afya asikwambie mtu
Nawaza kukimbiaaa huu mtaaaa nimefikiria mwisho wataakuja dilli na wake zetu
Dj...mod
Nipe wimboooo wa
Lyon of judah I trust on u frm Nigeria sio kwa kasihiii
Atahamaje kwake, yeye ndiye kawapangisha malaya!Ebu hama kabisa mitaani hiyo ya uswahilini huwa ni nuksi hata kwa maendeleo yako
Mkuuuu napangisha nahamia kwingineAtahamaje kwake, yeye ndiye kawapangisha malaya!
Sasa hivi kaanza kukigwaya kivuli chake, maana kinyago alichokifinyanga kimeanza kumtishia maisha.