Kwa mwenendo wa vijana hawa, UKIMWI kuisha tusahau!

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Wamekuja mabinti wawil kupanga. Nikawapangisha chumba baada ya muda Wakaanza kutembea na Wanaume za watu wa vile vyumba vingine.

Wake zao nao wakaanza back2sender wakaanza kutembea na vijana wa mtaaani. Juzi wamepigana sana kisa simu na message wale Wanandoa.

Wale Vijana wa mtaani baadhi ni waathirika wanakula mbaazi mwaka wa 6 leo hiii na wameambukiza sana watoto wa shule.

Wana afya asikwambie mtu. Nawaza kukimbiaaa huu mtaa nimefikiria mwisho watakuja dilli na wake zetu.

DJ Mod Nipe wimboooo wa Lyon of Judah I trust on u from Nigeria sio kwa kasi hii.
 
Watakufuata hukohuko.Ni msako mkali wa sako kwa bako.
 
Watanzania tunajisahau sana aseee....ukimwi hatari sasa tunaogopa UTI sugu kulikp ukimwiii
Nduguu
Tuna vipub kafhaaa

Usiku mabinti wanawakalia watu gizani unaweza hisi wanawapima uti kumbe wanapima oil kama ina maji wakitoka hapo 🔥 no cdm no konyoo ach tu

49 perc n wanandoa
 
ney

Nope wimboo wa single
pls nimekumbuka sana those lyf
 
Taja Mtaa Kabisa
 
Watu wanajisahau kisa manyeg* ya muda mfupi kitawalamba wengi na mkeo kama ni nginjanginja lazma wamtokelezee
Shida haziiiishi hadi wazzeeee toka wajue kunaaa mbaaazi za kunywa

ukiupata unaishii wanagonga ovyo sanaa na yale madude ya kimsai loh saa zote yamesisimama kama yanafai mafao ya ppf

Sasa yule past unaambiwa kala kondoooo kibao 50 percent wake za watu kuna haja ya kushikaaaa site ununiooo mapema..
 
CCM ni ilele
 
Ebu hama kabisa mitaani hiyo ya uswahilini huwa ni nuksi hata kwa maendeleo yako
Atahamaje kwake, yeye ndiye kawapangisha malaya!

Sasa hivi kaanza kukigwaya kivuli chake, maana kinyago alichokifinyanga kimeanza kumtishia maisha.
 
Atahamaje kwake, yeye ndiye kawapangisha malaya!

Sasa hivi kaanza kukigwaya kivuli chake, maana kinyago alichokifinyanga kimeanza kumtishia maisha.
Mkuuuu napangisha nahamia kwingine

Nina washenzi nakula nao vyombo

Wana vyumba vya kutosha mtaanj wamepanga wako pale nhc Ubungo Oooh

Kuhama tu mkuu na nina vibinti vya kike loh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…