jamani matokeo ya kidato cha nne 2013 2014 yanatoka lini tafadhalin naombeni kujua kama kuna mwenye taarifa
jamani matokeo ya kidato cha nne 2013 2014 yanatoka lini tafadhalin naombeni kujua kama kuna mwenye taarifa
Kwa sasa CA tumeisha zimaliza
ila utata ni mwingi sana jaribuni kupunguza jazba
.
Tatizo lililopo ni Server zetu zina Jam kutokana na wingi wa watu wanaotembelea website yetu wakati matokeo bado..
.
Tunaweza kuzi shutdown leo usiku ili tuyalekebishe mambo...
Ndani ya wiki ijayo waeshimiwa mtafurahi wenyewe haitafika juma 5
.
Ahsante
cheti kilichopotea wasilisha
vyeti@necta.go.tz