Poleni sana wanajf kwa kusubiria matokeo...endeleeni kusubiria kwa sababu kazi bado ni kubwa sana...tatizo linalosababisha matokeo kuchelewa ni CA...shule nyingi zimetuma ca ambazo haziendan na hali halisi ya mwanafunzi...mitihani ilisahihishwa vizuri tu,sasa tatizo ni zile 40% za CA...kinachofanyika sasa ni kukadilia alama izo kwa kuangalia mtihan wa mwisho...wanafunzi wote waliofanya vizuri mtihani wa mwisho yan wale waliopata A na B,hawajawekew CA...waliopata kwanzia C,D,E na F,ndio imebidi kuanza kukadilia izo CA...kilichopo nikua serikali ilikurupuka juu ya 40% za CA kwani inavyoonekana matokeo yameshindwa kusadifu hali halisi...elimu yetu inateketea hivi hivi wasomi wetu wakiangalia...mwisho nawapongeza wahitimu wote...tumejitahidi kufuta izo zero..UFAURU UMEONGEZEKA...REKODI IMEVUNJWA 85%...wanasiasa wanafurahi...asanten