Kwa mwenye ufahamu kuhusu biashara ya distribution tafadhali

Kwa mwenye ufahamu kuhusu biashara ya distribution tafadhali

encyclopaedia Tanzaree

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2017
Posts
515
Reaction score
405
Wapendwa ningependa kufaham kuhusu watu wanaofanya biashara kama distributors wa makampuni ya vinywaji kama vile cocacola, pepsi and the like, kuwa;
1. Wanafaidikaje?
2. Risks zilizopo kwenye hiyo biashara or SWOT analysis yake
3. mchanganuo wa biashara hiyo.
Kwa sasa nafanya biashara ya kusambaza dagaa na samaki kutoka Mwanza, nina business plan ambayo nimeandika kwa ajili ya kutafuta funds za kukuza biashara yangu lakini nimejfikiria risks zilizopo kwenye kuweka mtaji mkubwa kwenye biashara ya samaki na dagaa ni kubwa zaid, hivyo nimeona nitafute biashara nyingine ambayo nitaifanya kwa pamoja na biashara yangu ya sasa.
Pia kwa atakaye kuwa na wazo la biashara litakalohitaji mtaji wa mil 1 had 5 naomba anisaidie kupanua fikra zangu katika biashara.

NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI........
 
Distributor unalipwa kwa kamisheni na the more unavyo uza ndo the more unavyo pata pesa nyingi.

Hakuna njia nyingine na price huwa controled kabisa kwamba bei ni sh kadhaa na kamisheni inajulikana kabisa.

Hivyo ukitoa mzigo kwa wingi sana ndo utakavyo pata pesa nyingi
 
Wapendwa ningependa kufaham kuhusu watu wanaofanya biashara kama distributors wa makampuni ya vinywaji kama vile cocacola, pepsi and the like, kuwa;
1. Wanafaidikaje?
2. Risks zilizopo kwenye hiyo biashara or SWOT analysis yake
3. mchanganuo wa biashara hiyo.
Kwa sasa nafanya biashara ya kusambaza dagaa na samaki kutoka Mwanza, nina business plan ambayo nimeandika kwa ajili ya kutafuta funds za kukuza biashara yangu lakini nimejfikiria risks zilizopo kwenye kuweka mtaji mkubwa kwenye biashara ya samaki na dagaa ni kubwa zaid, hivyo nimeona nitafute biashara nyingine ambayo nitaifanya kwa pamoja na biashara yangu ya sasa.
Pia kwa atakaye kuwa na wazo la biashara litakalohitaji mtaji wa mil 1 had 5 naomba anisaidie kupanua fikra zangu katika biashara.

NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI........
KWA NINI UNAIMBA WAZO?

Wewe unaishi mwezini mkuu? ndo yala jana nimesema watu wengi wana idea ila hawaziamini kamwe na wanaamini za watu wengine.

How come uamini idea ya cocacola ya kusambaza soda zao na yako usiiamini?
 
KWA NINI UNAIMBA WAZO?

Wewe unaishi mwezini mkuu? ndo yala jana nimesema watu wengi wana idea ila hawaziamini kamwe na wanaamini za watu wengine.

How come uamini idea ya cocacola ya kusambaza soda zao na yako usiiamini?
hapana mkubwa hujanielewa, namaanisha kwamba kuweka miguu yote sehem moja ni hatar kwan nimeshaliona hilo kwenye biashara ya dagaa. inafikia wakati biashara haiend kbs yaan kama umetengeneza pakti mia 3 halaf ndan ya wiki unauza pakti nne tu.
ndo maana najaribu kutafta biashara ya pili kwan naamin kuwa ni vigum biashara zote zikawa na trend za kufanana...
 
Back
Top Bottom