R Mbuna
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 2,283
- 5,371
Habari za Leo wakuu.
Kuna habari nimezisikia kuhusu gharama za kujifungua kwa wamama wajawazito. Hapo awali mama mjazito anapofikia wakati wa kujifungua anatakiwa awe na vifaa tu vya kujifungulia iwapo ataenda hospital za serikali na hatochangia hata senti.
Ila jana kuna mtu amenipa habari kuwa kwa sasa hivi watakaoenda kujifungua kwenye hospitali za serikali wanatakiwa kuchangia kiasi cha pesa.
Kwa wale watakaozaa bila upasuaji watalipia kiasi cha shilingi 80,000/ ( Elfu themanini) na wale watakaohitajika upasuaji itawagharimu kuchangi takribani laki mbili.
Nilikuwa naomba kujua uhakika wa maelezo haya isiwe watu wanaposha kwa maana bado tupo kwenye mapambano ya kupunguza vifo vinavyotokana na uzazi hasa wakati wa kujifungua.
Iliwekwa kujifungua bure ili kuhamasisha wanawake wasijifungulie nyumbani ukizingatia uchumi pia ulikuwa changamoto.
Nawasilisha .
Kuna habari nimezisikia kuhusu gharama za kujifungua kwa wamama wajawazito. Hapo awali mama mjazito anapofikia wakati wa kujifungua anatakiwa awe na vifaa tu vya kujifungulia iwapo ataenda hospital za serikali na hatochangia hata senti.
Ila jana kuna mtu amenipa habari kuwa kwa sasa hivi watakaoenda kujifungua kwenye hospitali za serikali wanatakiwa kuchangia kiasi cha pesa.
Kwa wale watakaozaa bila upasuaji watalipia kiasi cha shilingi 80,000/ ( Elfu themanini) na wale watakaohitajika upasuaji itawagharimu kuchangi takribani laki mbili.
Nilikuwa naomba kujua uhakika wa maelezo haya isiwe watu wanaposha kwa maana bado tupo kwenye mapambano ya kupunguza vifo vinavyotokana na uzazi hasa wakati wa kujifungua.
Iliwekwa kujifungua bure ili kuhamasisha wanawake wasijifungulie nyumbani ukizingatia uchumi pia ulikuwa changamoto.
Nawasilisha .