Kuna kijana amehitimu maswala ya videography na target yake ni kwenda kwenye hizi media Kama wasafi, clouds, eatv etc . (Anachangamoto/ majukumu kidogo kweny familia ijapokuwa hana kipato cha kueleweka)
Kutokana na maisha yalivyo ni muhimu kufahamu hata mishahara tu ya waliopo kweny ajira inasomaje ili nae ajipime Kama itaweza kumkwamua au afikirie namna nyingine ya kufanya.
Kwa mwenye ufahamu wa mishahara ya wapiga picha (wachanganya picha) kwenye hizi media binafsi anaweza kuwa Msada Sana. Level ya elimu ni shahada ya kwanza.
Natanguliza shukrani .
Kutokana na maisha yalivyo ni muhimu kufahamu hata mishahara tu ya waliopo kweny ajira inasomaje ili nae ajipime Kama itaweza kumkwamua au afikirie namna nyingine ya kufanya.
Kwa mwenye ufahamu wa mishahara ya wapiga picha (wachanganya picha) kwenye hizi media binafsi anaweza kuwa Msada Sana. Level ya elimu ni shahada ya kwanza.
Natanguliza shukrani .