Kwa mwenye ufahamu wa suala hili anisaidie

Kwa mwenye ufahamu wa suala hili anisaidie

Director-k

Member
Joined
Mar 12, 2014
Posts
88
Reaction score
26
Ninavutiwa Sana Na Kufanya Biashara 2 Tofauti.
1) Kufungua Huduma Za M-pesa, Tigo Pesa Na Airtel Money Na Kuuza Luku. Lakini Sijui Gharama Zake Na Ni Mtaji Wa Kiasi Gani Unatosha Pia Kuna Changamoto Zipi.
2) Nafikiria Kununua Bajaji Then Nijiajiri Mwenye (niendeshe Mwenyewe) Lakini Sijui Changamoto Zake.
Kwa Mwenye Ufaham Wa Biashara Hizi Tafadhali Anisaidie Mawazo Na Mchanganuo Wake.
NAISHI DAR
 
Ninavutiwa Sana Na Kufanya Biashara 2 Tofauti.
1) Kufungua Huduma Za M-pesa, Tigo Pesa Na Airtel Money Na Kuuza Luku. Lakini Sijui Gharama Zake Na Ni Mtaji Wa Kiasi Gani Unatosha Pia Kuna Changamoto Zipi.
2) Nafikiria Kununua Bajaji Then Nijiajiri Mwenye (niendeshe Mwenyewe) Lakini Sijui Changamoto Zake.
Kwa Mwenye Ufaham Wa Biashara Hizi Tafadhali Anisaidie Mawazo Na Mchanganuo Wake.
NAISHI DAR

Hiyo ya Tigo Pesa unaweza fanya ila hujasema nayo utaweka mtu au utakaa mwenyewe.Inalipa ikiwa upo sehemu nzuri yenye mzunguko mkubwa wa watu ukianza na mtaji wa laki 7 hivi kwa Max Malipo.Japo unaweza nunua line mojamoja kila moja itagharimu kuanzia laki 1 mpaka M1 inategemea unaipata vp.Kwa Wakala Mkuu au Kwa Mtu kukuuzia.
Changamoto ni jinsi ya kupata wateja wengi wanaotoa na kuingiza pesa kidogokidogo.Pia unaweza pewa pesa feki,kutapeliwa na mambo kama hayo.

Hiyo ya bajaji inalipa sana tena kwa vile utaifanya mwenyewe.Mtaji ni kuanzia M5 kwenda mbele inategemea aina na unaipata wapi.Kununua mpya au kwa mtu.Ukikomaa mwenyewe ndanni ya mda mfupi unaweza ongeza nyingine.Nafikiri nimejibu kulingana na ninavyofahamu nikitarajia utapata mwanga kiasi fulani.Big Up.
 
Back
Top Bottom