jamani kwa mwenye uzoefu na biashara ya tax,tafadhari anisaidie kujua je inalipa?yaaani hesabu ni shangapi,total kwa mwezi na running cost zikoje on average?inaweza kuyafanya maisha yaendee?
NB😛ia unaweza toa msaada wa aina ya biashara mbadala inayoweza fanywa kwa mtaji wa 20ML.
NB😛ia unaweza toa msaada wa aina ya biashara mbadala inayoweza fanywa kwa mtaji wa 20ML.