Kwa Mwenye Uzoefu na Kupeleka Bidhaa nje ya Nchi

Mwamba028

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2013
Posts
4,595
Reaction score
3,670
Natumai mko salama,

Dhumuni la Uzi huu ni kuwaomba wadau wote wenye Uzoefu na Usafirishaji wa Bidhaa mbali mbali kwenda Kuuza Nje ya Nchi, Haswa Bidhaa za Vyakula na Matunda.

Ningependa Kujua ni Hatua gani zinachukuliwa Kuanzia hapa Nchini mpaka Huko Nchi Husika

Kwa Mfano mimi Nahitaji Kujua namna ya Ku Export Zao la Zabibu Nyeupe na Vanilla

Kuna mdau aliwahi kuandika hapa Jf kuwa kuna Wakenya huwa wanaenda Dodoma kununua hizo Zabibu kisha wanazi Re Pack na Kuzisafirisha kwenda Spain, kwa mwenye taarifa zaid basi atuwekee hapa

Mtanisamehe kwa Mpangilio wa Uandishi na Natanguliza Shukrani

Mwamba.
 
Wazee wa Export hamupo humu ndani
 
Poah poa mkuu, nashkuru kwa wazo hilo,ntalifanyia kazi
Nafikiri kuongeza credibility itabidi usajili kampuni, pia uoneshe kuwa unatimiza viwango vyao toka uzalishaji hadi bidhaa inafika kwa mteja.
 
Unaomba kufahamu taratibu/sheria au masoko?
 
Ingia website ya TRA utaona kila kitu. Pia jitahidi kutumia mudawako kuelewa ex/import terminologies.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…