Wataalamu naomba mnisaidie ushauri ni kwa namna gani naweza maintain usafi wa kinywa changu.
Hapa nazungumzia kuzuia harufu mbaya kinywa, pia naona meno yangu yanaliwa na wadudu na kwa umri huu nilio nao niking'oa jino haliwezi kuota tena
Karibuni wadau nipo hapa kupokea ushauri wenu.
Hapa nazungumzia kuzuia harufu mbaya kinywa, pia naona meno yangu yanaliwa na wadudu na kwa umri huu nilio nao niking'oa jino haliwezi kuota tena
Karibuni wadau nipo hapa kupokea ushauri wenu.