Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Amani iwe nanyi nyote!
Jimbo la misungwi linaundwa na Kata 24 na tarafa kuu nne ambapo jimbo hili kijiografia libapakana na majimbo ya Nyamagana na Sengerema kwa sehemu kubwa ambapo mbuge wake wa sasa ambaye amehudumu kwa miaka kumi mpaka sasa bila kutatua changamoto ni ndugu Charles Kitwanga. Pia, jimbo hili limezungukwa na ziwa Victoria kwa sehemu kubwa.
Matatizo yanayotukabiri wana misungwi in pamoja na:
1. Changamoto ya maji.
2. Huduma hafifu za afya
3. Uhaba mkubwa wa walimu wa sayansi katika shule za sekobdari jimbo la Misungwi
4. Tatizo la uhaba wa vituo vya afya Na huduma kwa kina mama wajawazito.
5. Tatizo la migogoro ya ardhi kutopatiwa ufumbuzi kwa wakati.
Hivyo, kwa unyenyekevu mkubwa nakuomba bwana Alexnda Mnyeti uje utuvushe wana Misungwi. Tumekwama kwa miaka kumi sasa tunasema basi njoo utatue kero za jumbo letu.
Jimbo la misungwi linaundwa na Kata 24 na tarafa kuu nne ambapo jimbo hili kijiografia libapakana na majimbo ya Nyamagana na Sengerema kwa sehemu kubwa ambapo mbuge wake wa sasa ambaye amehudumu kwa miaka kumi mpaka sasa bila kutatua changamoto ni ndugu Charles Kitwanga. Pia, jimbo hili limezungukwa na ziwa Victoria kwa sehemu kubwa.
Matatizo yanayotukabiri wana misungwi in pamoja na:
1. Changamoto ya maji.
2. Huduma hafifu za afya
3. Uhaba mkubwa wa walimu wa sayansi katika shule za sekobdari jimbo la Misungwi
4. Tatizo la uhaba wa vituo vya afya Na huduma kwa kina mama wajawazito.
5. Tatizo la migogoro ya ardhi kutopatiwa ufumbuzi kwa wakati.
Hivyo, kwa unyenyekevu mkubwa nakuomba bwana Alexnda Mnyeti uje utuvushe wana Misungwi. Tumekwama kwa miaka kumi sasa tunasema basi njoo utatue kero za jumbo letu.