Kwa namna ratiba inavyoenda kimagumashi Simba anakuja kudondosha point ili Utopolo awe bingwa

Kwa namna ratiba inavyoenda kimagumashi Simba anakuja kudondosha point ili Utopolo awe bingwa

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Simba ametoka kucheza na Geita jana, Leo yuko Dar, kesho ana mazoezi alhamisi trh 15 anamalizia raundi ya kwanza na JKT, halafu trh 18 aende Morogoro kwa Mtibwa aanze raundi ya lala salama.

Azam wameshapumzika vya kutosha, Yanga wameshapumzika vya kutosha.

Subirini muone akili za Benchika, mwisho atachezesha mabeki watupu mkifungwa atoe sababu kuwa target yake ni ligi ya mabingwa.

Mipango Mipango mingi ila naona kabisa wenye majini wanaandaliwa kuwa mabingwa.
 
Kina Nani Wenye Majini...?

Mji umechafuka kila Sehemu Majini Majini, Kina Nani hao Wazee Wa Majini..?
 
Simba ametoka kucheza na Geita jana, Leo yuko dar, kesho ana mazoezi alhamisi trh 15 anamalizia raundi ya kwanza na JKT, halafu trh 18 aende Morogoro kwa Mtibwa aanze raundi ya lala salama.

Azam wameshapumzika vya kutosha, Yanga wameshapumzika vya kutosha.

Subirini muone akili za Benchika, mwisho atachezesha mabeki watupu mkifungwa atoe sababu kuwa target yake ni ligi ya mabingwa.

Mipango Mipango mingi ila naona kabisa wenye majini wanaandaliwa kuwa mabingwa.
Wacha kulialia ndugu yangu; ratiba iko hivyo kwa timu zote zilizokuwa na viporo, inategema viporo vilikuwa vingapi.

Yanga ilikuwa na viporo vinne tu, wakati Simba ilikuwa na viporo vitano. Yanga ilimaliza viporo vyake kwa mzunguko huu: Kagera Sugar (February 2), Dodoma City (February 5), Mashujaa (February 8), Tanzania Prisons (February 11) na sasa wanaanza raundi ya pili dhidi ya KMC (February 17).

SImba imemaliza viporo vyake kwa mzunguko huu: Mashujaa (February 3), Tabora United (February 6), Azam (February 9), Geita Gold (February 12), na JKT Tanzania (February 15). Baada ya hapo ndipo itakapocheza mchezo wake wa kwanza wa raundi ya pili dhidi ya Dodoma Jiji. Katika kipindi chote cha viporo timu zote zenye viporo zilikuwa zinapewa siku mbili za mapumuziko.
 
Usipofanya proper reasoning, ndio mtu huishia hata kuamini uchawi au majini kama Mayelle.

Mwaka jana August, kuna MwanaSimba nilimuambia kuwa huja ubingwa wa NBCPL Ukawa mgumu kwa sababu ya African Football League. Nikimuambia, wakati ratiba ya NBCPL inaendelea kwa timu zingine, Simba atakua AFL itampa mlundikano wa match za Ligi Kuu. Ndio kinachomkuta sasa.

Nyie miamba wa soka Afrika bhana, imekuwaje tena?
 
Kipindi kile mnapewa mda wa kupumzika mlikua hamjui itafika mda mechi zitarundikana?
 
Usipofanya proper reasoning, ndio mtu huishia hata kuamini uchawi au majini kama Mayelle.

Mwaka jana August, kuna MwanaSimba nilimuambia kuwa huja ubingwa wa NBCPL Ukawa mgumu kwa sababu ya African Football League. Nikimuambia, wakati ratiba ya NBCPL inaendelea kwa timu zingine, Simba atakua AFL itampa mlundikano wa match za Ligi Kuu. Ndio kinachomkuta sasa.

Nyie miamba wa soka afrika bhana, imekuwaje tena?
Mayele kaniangusha sana; nilikuwa namshabikia sana uwanjani na hata huko aliko sasa nilikuwa namtakia mafanikio lakini sikujua kuwa reasoning yake ni ziro kabisa. Ni kweli Mungu hakupi vyote.
 
Unalalamika nin, Mbona ratiba iko ivo ivo kwa timu zote zenye viporo
 
Viporo havina msaada wowote kwa Simba. Ningekuwa kiongozi wa Simba ningehakikisha mechi zake haziahirishwi hovyo hovyo hata zile zinazoangukia katikati ya mechi za klabu bingwa. Mambo ya kukimbia mechi tuwaachie Yanga.

Kama kuna kiongozi wa Simba anahusika kuishinikiza, kuiomba au kuihonga TFF isogeze mbele mechi zake, huyo mtu hajitambui na hafai kuwa kiongozi wa Simba.
Wengine wenye akili zetu timamu tulishakataa viporo kitambo tu 🔼🔼
 
Simba ametoka kucheza na Geita jana, Leo yuko Dar, kesho ana mazoezi alhamisi trh 15 anamalizia raundi ya kwanza na JKT, halafu trh 18 aende Morogoro kwa Mtibwa aanze raundi ya lala salama.
Azam wameshapumzika vya kutosha, Yanga wameshapumzika vya kutosha.

Subirini muone akili za Benchika, mwisho atachezesha mabeki watupu mkifungwa atoe sababu kuwa target yake ni ligi ya mabingwa.

Mipango Mipango mingi ila naona kabisa wenye majini wanaandaliwa kuwa mabingwa.
na bado...mpka mnye
 
Back
Top Bottom