Kwa Nchi zinazojielewa Tozo zinaweza kuiondoa CCM madarakani 2025

Kwa Nchi zinazojielewa Tozo zinaweza kuiondoa CCM madarakani 2025

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
2,887
Reaction score
5,687
Hizi Tozo zimeongeza ugumu wa maisha. Imekua kero juu ya maisha magumu ya utafutaji.

Ingekuwa inchi zinazojielewa kama zambia, malawi, kenya nk CCM ingechomolewa madarakani comes 2025 election.

Ikumbukwe kwamba hata inchi zilizo mbele Kwenye siasa/mfumo wa vyama vingi. Vyama tawala huondolewa madarakani kwa Makosa madogo madogo.

Tatizo Tanzania watu hawajielewi. inchi kamilikishwa/ kamilikishwa ccm. Wanadiriki kutuambia tuhamie burundi. Ajabu sasa.

Subiri uchaguz wa 2025 . Haaa wanaolalama sasa wataipigania ccm ibaki madarakani kwa malipo ya vitu vidogo vidogo t-shirt, khanga, chumvi ,sukari nk. Very sad. Hadi polis na idara za usalama utaona kwa promise binafsi.

Ingekua hizo inchi wanaojitambua ccm ingeamhulia patupu come 2025 election. Waje wengine waongoze kwa weledi.

Matokeo yake CCM wanajifanyia watakavyo.
 
Unaweza kumchagua unayemtaka ila akaja usiyemtaka,kikubwa watanzania tuwe na spirit ya kuingia road pale atakapokuja tusiyemtaka
 
Nasubiri vilio zaidi toka kwa watumishi baada ya kutoka benki
 
Unaweza kumchagua unayemtaka ila akaja usiyemtaka, kikubwa watz tuwe na spirit ya kuingia road pale atakapokuja tusiyemtaka
 
Hizi Tozo zimeongeza ugumu wa maisha. Imekua kero juu ya maisha magumu ya utafutaji.

Ingekua inchi zinazojielewa kama zambia, malawi, kenya nk CCM ingechomolewa madarakani comes 2025 election.

Ikumbukwe kwamba hata inchi zilizo mbele Kwenye siasa/mfumo wa vyama vingi. Vyama tawala huondolewa madarakani kwa Makosa madogo madogo.

Tatizo Tanzania watu hawajielewi. inchi kamilikishwa/ kamilikishwa ccm. Wanadiriki kutuambia tuhamie burundi. Ajabu sasa.

Subiri uchaguz wa 2025 . Haaa wanaolalama sasa wataipigania ccm ibaki madarakani kwa malipo ya vitu vidogo vidogo t-shirt, khanga, chumvi ,sukari nk. Very sad. Hadi polis na idara za usalama utaona kwa promise binafsi.

Ingekua hizo inchi wanaojitambua ccm ingeamhulia patupu come 2025 election. Waje wengine waongoze kwa weredi.

Matokeo yake CCM wanajifanyia watakavyo.
Ingekuwa ni nchi jirani hapo,watu wangekuw wamenzisha # campaign kupinga huu unyonyaji
 
Japo watanzania hawaeleweki kimsimamo but subiri uone watakaopiga kura uchaguzi ujao, hapo ndipo utajua ccm ilishaindika madarakani ila ipo tu kubypass maisha not muda!.
 
Chagua usichague itaendelea kuwepo tu. Japo sio mwanasiasa ila ndio naona hivyo
 
Back
Top Bottom